Friday, August 15, 2014

TAHADHARI:UKIDAKWA UMEVAA SARE ZA JESHI SASA HIVI UJUE KAZI UNAYO, SOMA HII

http://theclicktz.com/
JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeonya juu ya matumizi ya sare na vifaa vingine vya majeshi kwa watu wasiohusika. Limetangaza kuwa hatua kali za kisheria, zitachukuliwa dhidi ya watu hao.