Muigizaji Wema Sepetu, amesema mchezo wa soka unamchosha kuangalia kwa kuwa unatumia muda mrefu wa dakika 90 huku wachezaji wake wakihangaika mno kutafuta mabao tofauti na mpira wa kikapu (Basketball).
Wema anasema mara nyingi akiwa nyumbani kwake hupenda kuangalia mpira wa kikapu kwani hauchoshi na wachezaji huwa wanatumia muda mfupi kupachia mabao.
Ili aangalie soka na kumaliza muda wote wa mchezo ni lazima awe na kampani yake na mara nyingi iwe laivu uwanjani
Showing posts with label MICHEZO. Show all posts
Showing posts with label MICHEZO. Show all posts
Sunday, June 19, 2016
Saturday, June 4, 2016
Tanzia; Bondia Mohamed Ally Afariki Dunia leo Asubuhi
Muhammad Ali has died aged 74 after a 32-year battle with Parkinson's disease.
The legendary boxer - widely regarded as the best of all time - died with his family at his side on Friday evening, a day after he was rushed to hospital with difficulty breathing.
'After a 32-year battle with Parkinson's disease, Muhammad Ali has passed away at the age of 74. The three-time World Heavyweight Champion boxer died this evening,' Ali's spokesman said.
Ali's family said his funeral would be held in his hometown of Louisville, Kentucky, and thanked the public for their outpouring of support.
Ali had been on life support at a hospital outside Phoenix, Arizona, after he was found 'barely breathing' at his home on Thursday.
He was taken to hospital with an 'unshakeable cough', a separate source said, with his fatal respiratory problems likely to have been complicated by his Parkinson's disease.
The Greatest was surrounded by his family, who rushed to be at his bedside on Friday after doctors warned his condition was 'rapidly deteriorating', a source said.
It was earlier reported that Ali's family had started making funeral arrangements after doctors warned that he was just hours from death.
The legendary boxer - widely regarded as the best of all time - died with his family at his side on Friday evening, a day after he was rushed to hospital with difficulty breathing.
'After a 32-year battle with Parkinson's disease, Muhammad Ali has passed away at the age of 74. The three-time World Heavyweight Champion boxer died this evening,' Ali's spokesman said.
Ali's family said his funeral would be held in his hometown of Louisville, Kentucky, and thanked the public for their outpouring of support.
Ali had been on life support at a hospital outside Phoenix, Arizona, after he was found 'barely breathing' at his home on Thursday.
He was taken to hospital with an 'unshakeable cough', a separate source said, with his fatal respiratory problems likely to have been complicated by his Parkinson's disease.
The Greatest was surrounded by his family, who rushed to be at his bedside on Friday after doctors warned his condition was 'rapidly deteriorating', a source said.
It was earlier reported that Ali's family had started making funeral arrangements after doctors warned that he was just hours from death.
Amissi Tambwe Aishauri Yanga
Mshambuliaji wa Yanga, Mrundi, Amissi Tambwe ameushauri uongozi wa klabu hiyo kuhakikisha unasajili kiungo mkabaji (namba sita), wa nguvu katika kipindi hiki cha usajili ambaye atakuwa msaada mkubwa kwa timu hiyo.
Tambwe ambaye ndiye mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu huu akiwa na mabao 21, amesema Yanga inakabiliwa na tatizo kubwa la kiungo mkabaji mwenye uwezo kupambana muda wote wa mchezo.
Alisema hali hiyo ndiyo imekuwa ikiisumbua timu hiyo katika mechi zake za kimataifa jambo ambalo uongozi wa timu hiyo unapaswa kulifanyia kazi katika kipindi hiki cha usajili.
“Tuna viungo wengi wazuri lakini bado tunahitaji kiungo mkabaji wa nguvu ambaye atakuwa anashirikiana vilivyo na mabeki wetu katika safu ya ulinzi.
“Uongozi wetu unatakiwa kuliona hilo na kulifanyia kazi katika kipindi hiki cha usajili kabla ya kuanza kushiriki michuano ya kimataifa ambayo itakuwa na ushindani mkubwa kutokana na aina ya timu tutakazokutana nazo,” alisema Tambwe.
Tambwe ambaye ndiye mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu huu akiwa na mabao 21, amesema Yanga inakabiliwa na tatizo kubwa la kiungo mkabaji mwenye uwezo kupambana muda wote wa mchezo.
Alisema hali hiyo ndiyo imekuwa ikiisumbua timu hiyo katika mechi zake za kimataifa jambo ambalo uongozi wa timu hiyo unapaswa kulifanyia kazi katika kipindi hiki cha usajili.
“Tuna viungo wengi wazuri lakini bado tunahitaji kiungo mkabaji wa nguvu ambaye atakuwa anashirikiana vilivyo na mabeki wetu katika safu ya ulinzi.
“Uongozi wetu unatakiwa kuliona hilo na kulifanyia kazi katika kipindi hiki cha usajili kabla ya kuanza kushiriki michuano ya kimataifa ambayo itakuwa na ushindani mkubwa kutokana na aina ya timu tutakazokutana nazo,” alisema Tambwe.
Tuesday, May 31, 2016
Ukweli Wa Taarifa Za Kipre Tchetche Kusaini Oman, Umeelezwa Na C.E.O Wa Azam FC

Baada ya kuenea kwa habari za mshambuliaji wa kimataifa wa Ivory Coast anayeichezea klabu ya Azam FC Kipre Tchetche kuripotiwa kusaini klabu ya Nahda Al-Buraimi ya Oman, afisa mtendaji mkuu wa klabu hiyo Saad Kawemba ameeleza ukweli na kuwatoa hofu mashabiki walioshtushwa na habari hizo.
C.E.O wa Azam FC Saad Kawemba kaeleza kuwa hizo ni habari za uzushi za kuwa nyota wao amesaini Nahda Al-Buraimi ya Oman, kwani bado ana mkataba na Azam FC ndio maana hata vyombo vya habari vinaripoti kuwa anaomba akapate changamoto mpya kwa maana ana mkataba na Azam FC.

“Kipre ni mchezaji wetu ambae ni muhimu huwezi kumruhusu amalize msimu aende mapumziko akiwa hana mkataba, kwa hiyo tuna mkataba ambao ni endelevu, nadhani ndio maana ukasikia wanasema anaomba akapate changamoto sehemu nyingine, ukweli ni kuwa mchezaji kama ana mkataba ni makubaliano umuuze au anunue mkataba”
Sunday, May 29, 2016
Samatta Aipeleka Genk Europa League
Samatta-ushindi
Leo May 29, Mbwana Samatta ameandika historia mpya kwenye maisha yake baada ya kuisaidia timu yake ya Genk kushinda mchezo wa fainali ya play off na hatimaye kufu kucheza michuano ya Ulaya (Europa League).
Samatta ambaye alianza kwenye kikosi cha kwanza cha Genk ameisaidia klabu yake kupata ushindi wa magoli 5-1 kwenye uwanja wao wa nyumbani (Cristal Arena) dhidi ya Sporting Charleroi.
Katika ushindi huo wa magoli 5-1, Samatta amefunga goli moja ambalo lilikuwa ni goli la pili kwenye mchezo huo. Nikolaos Karelis ambaye amfunga hat-trick kwenye mchezo huo alianza kuifungia Genk goli la kwanza kwa mkwaju wa penati dakika ya 17 kisha Samatta akazamisha bao la pili dakika ya 27 kabla ya Sandy Walsh kupiga bao la tatu dakika ya 45 na kuipeleka Genk mapumziko ikiwa mbele kwa magoli 3-1.
Sunday, April 10, 2016
Picha:Manny Pacquiao Amkalisha Mara Mbili Bradley
Bondia Mfilipino, Manny Pacquiao amempiga Mmarekani Timothy Brandley katika pambano lao la tatu lililofanyika leo alfajiri katika ukumbi wa MMG, Grande Arena, Las Vegas nchini Marekani.
Majaji watatu wa pambano hilo wote walimpa Manny Pacquiao ushindi wa 116-110, hivyo kuwa Bingwa mpya wa Dunia wa uzito wa ‘Welterweight’ wa WBO.
Manny alimuangusha chini Brandley mara mbili katika pambano hilo, ikiwa ni katika raundi ya 7 na raundi ya 9.
Akizungumza baada ya pambano hilo, Pacquiao alikiri kuwa anaastafu masumbwi na sasa ataendelea na shughuli zake za kuwatumikia wananchi wa Ufilipino akiwa kama Mbunge wao.
“Ndio nastaafu,” alisema. “Nataka kwenda nyumbani kwa familia yangu na kuwatumikia watu wangu. Nawapenda mashabiki wangu na nawashukuru kwa ‘sapoti’ waliyonipa,” aliongeza.
Saturday, April 9, 2016
Maamuzi Ya Mgodi Wa Geita Gold Mine Baada Ya Timu Yake Kujihusisha Katika Upangaji Wa Matokeo

Msemaji wa mgoni huo Tenga bin Tenga amesema licha ya Geita Gold Sports kuwaandikia barua ya kujitetea kwamba haihusiki na kashfa hiyo, mgodi kwa sasa hautahusika na udhamini wowote hadi pale ukweli halisi wa tuhuma hizo utakapobainika.
“Baada ya tu ya timu kutuhumiwa kwamba imetumia rushwa na kupanga matokeo, haraka uongozi wa mgodi wa Geita ukaiandikia timu barua kwamba iwezekutoa ufafanuzi wa jambo hili ambalo linazunguzwa”, amesema Tenga.
“Timu ilichofanya, ilijibu na kusema hawana hatia yoyote na hawajafanya kitendo kama hicho lakini kama uongozi unahakikisha sheria na taratibu zinafuatwa, mgodi ulichofanya ni kusitisha udhamini tukisubiri upelelezi na uchunguzi wa TFF pamoja na chunguzi nyingine ili ziweze kutoa majibu yanayofaa katika kufanya maamuzi”.
“ Kwahiyo kwasasa mgodi umesitisha udhamini ukitegemea kutoa maamuzi sahihi pale ambabo taratibu zote za uchunguzi zimeshapata majibu”.
Msemaji huyo pia akazungumzia namna mgodi huo ulivyopokea taarifa za hukumu ya shirikisho la soka nchini (TFF) hivi karibuni.
“Kuhusiana na hukumu iliyotolewa na TFF ilitushtua sana kwasababu jamii na watu wote ambao ni wadau tunaojishughulisha nao tunaamini kwamba watafanya vitu sawasawa na mgodi vile ambavyo unafanya. Mgodi unatii taratibu na sheria za nchi, mambo ya rushwa na upangaji wa matokeo ni vitu ambavyo mgodi unapinga sana”.
“Kwahiyo TFF kusema kwamba timu ya Geita imejihusisha na rushwa imetushtua na imetusikitisha kwahiyo uongozi utakaa na utatuambia tunafanya nini”
Friday, April 8, 2016
Mashabiki Wa Al Ahly Waanza Vurugu Zao Taifa...Waruka Ukuta Na Kwenda Kushuhudia Mazoezi Ya Timu Yao

Mashabiki wa Al ahly waanza ruvugu zao washindwa kuvumilia kukaa nje ya uwanja wa taifa baada ya kuzuiwa na badala yake wakaruka ukuta kushuhudia mazoezi ya timu yao
Wednesday, April 6, 2016
Breaking Newss:Wameanza Kubainika Mmoja Baada Ya Mwingine, Hawa Hapa ‘Vigogo’ Wa Tff Waliokuwa Wakiomba Milioni 25 Ili Kupanga Matokeo
Kubwa ambalo ndiyo habari ya ‘mujini’ kwa sasa ni kuvuja kwa sauti ambayo wanasikika baadhi ya maafisa wa ngazi za juu wa TFF pamoja na viongozi wa timu ya Geita Gold Sports wakipanga mikakati ya kupanga matokeo ambayo inahusisha rushwa ndani yake.
Sauti ya kigogo mmoja wa TFF inasikika akiomba rushwa ya shilingi milioni 25 kutoka kwa viongozi wa Geita ili aweze kuhakikisha anawasaidia katika baadhi ya matatizo ambayo miongoni mwayo ni pamoja na vibali vya wachezaji.
Sauti hiyo imeifikia www.shaffihdauda.co.tz na kutokana na kutaka kuwajulisha wadau wa mchezo huu pendwa, mtandao huu unakuletea moja kwa moja sauti hiyo ili upate kuwasikia vigogo hao wa TFF wenye dhamana kubwa ya soka la Bongo wanavyolihujumu na kulisambaratisha soka kwa kutumia vibaya mamlaka yao.
Jana (April 5) Kaimu Mkurugenzi wa Mashindano wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Martin Chacha alitangaza kujiuzulu nafasi yake katika utumishi wa TFF mara baada ya kuvuja kwa sauti ya mjadala wa kupanga matokeo pamoja na kuomba rushwa.
Katika barua yake aliyomwandikia Katibu Mkuu wa TFF, Chacha alieleza kuwa amepata majukumu mapya ya kikazi ambayo pamoja na majukumu ya kifamilia yatamfanya akose muda wa kutumika vema katika nafasi yake katika Shirikisho.
Martin alijiunga na TFF Julai 2014 akiwa Afisa wa Mashindano na baadaye kuteuliwa kukaimu nafasi ya Mkurugenzi wa Mashindano, kufuatia aliyekuwa anashikiria nafasi hiyo Boniface Wambura kuteuliwa kuwa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB).
Hili ndiyo soka la Bongo sinema na mazingaombwe bado yanaendelea TFF, usiache kufatilia www.shaffihdauda.co.tz kujua mengi zaidi juu ya sakata hili, utaendelea kupata taarifa kadiri zinavyotufikia kutoka katika vyanzo mbalimbali.
Hii hapa ndiyo sauti iliyonaswa kwenye mjadala huo wa upangaji matokeo uliowahusisha maafisa wa ngazi za juu wa TFF pamoja na viongozi wa timu ya Geita Gold Sports ya mkoani Geita.
Tuesday, April 5, 2016
Ratiba ya Mechi za Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya leo 5 April
Mechi za Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya, zinaendelea leo 5 April katika viwanja mbali mbali mechi ambayo itavuta mashabiki wengi ni Barcelona na Atlético Madrid mechi hiyo itapigwa katika uwanja Camp Nou, Mechi nyingine itakuwa ni kati ya Bayern München ambayo itawaalika Benfica kutoka Portugal.
Monday, April 4, 2016
Hans Poppe Ampeleka Msuva TP Mazembe
PAMOJA na kiwango kinachoonyeshwa na mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Ajib, lakini bosi wa kamati ya usajili ya timu hiyo, Zacharia Hans Poppe amesema kuwa ‘dogo’ huyo hawezi kuichezea TP Mazembe ya DR Congo bali mfumo wao unamfaa Simon Msuva wa Yanga.
Poppe amezungumza hayo katika ufafanuzi wa kuhusiana na ofa zinazosikika juu Ajib kutakiwa na mabingwa hao wa Afrika ambapo alieleza kutokana na falsafa ya Mazembe ni ngumu mchezaji huyo kuichezea timu hiyo.
Lakini akaenda mbali zaidi na kuingia kwenye kikosi cha mahasimu wao, Yanga na kumtaja Msuva kuwa ndiye mchezaji pekee kwa sasa anayeweza kuingia kwenye mfumo wa Mazembe na mwingine ni mshambuliaji wao, Danny Lyanga.
“Kuhusu ofa bado hatujapokea kutoka Mazembe lakini Ajib hatutegemei kutimkia Mazembe kutokana na aina ya soka analocheza, kupiga chenga nyingi, ku-control taratibu na kuweka ufundi mwingi.
“Kuhusu ofa bado hatujapokea kutoka Mazembe lakini Ajib hatutegemei kutimkia Mazembe kutokana na aina ya soka analocheza, kupiga chenga nyingi, ku-control taratibu na kuweka ufundi mwingi.
“Unajua Mazembe aina ya mpira wao ni ule wa watu walioshiba, wajanja wa kupenya na wenye kasi ndiyo maana Ulimwengu (Thomas) bado anafanya vizuri na Samatta (Mbwana) alidumu kutokana na kufunga kwenye mazingira yoyote yale.
“Anayefaa kwa sasa kwenda huko ni Msuva wa Yanga na pengine Lyanga, wao wana hizo sifa za kuichezea Mazembe ambayo haina mpira wa kugusa-gusa. Lyanga ana nguvu na kasi na ni ngumu beki kuchukua mpira mguuni kwake. Msuva ana spidi na ni mjanjamjanja, hao wanaweza kufanikiwa,” alisema Poppe.
“Anayefaa kwa sasa kwenda huko ni Msuva wa Yanga na pengine Lyanga, wao wana hizo sifa za kuichezea Mazembe ambayo haina mpira wa kugusa-gusa. Lyanga ana nguvu na kasi na ni ngumu beki kuchukua mpira mguuni kwake. Msuva ana spidi na ni mjanjamjanja, hao wanaweza kufanikiwa,” alisema Poppe.
Sunday, April 3, 2016
Tff Yashusha Rungu, Kipa Wa Simba Afungiwa Miaka 10, Geita Gold Na Polisi Zashushwa Daraja
KAMATI ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), chini ya Makamu Mwenyekiti wake, Wakil Jerome Msemwa leo imetoa maamuzi ya shauri la upangaji matokeo kwa mechi za Kundi C Ligi Daraja la Kwanza.
Akisoma hukumu hiyo baada ya kumaliza kuwahoji viongozi wa klabu na Wenyeviti wa vya vyama vya mikoa husika jana, Wakili Msemwa amesema adhabu hizo zimetolewa kwa kufuata Kanuni za Nidhamu za TFF, na nafasi ya kukata rufaa kwa wahusika juu ya maaamuzi hayo ziko wazi.
Klabu za Geita Gold (Geita), JKT Oljoro (Arusha) na Polisi Tabora (Tabora) zimekutwa na hatia ya upangaji wa matokeo na kupewa adhabu ya kushushwa daraja mpaka ligi daraja la pili (SDL) msimu ujao.
Upande wa klabu ya JKT Kanembwa FC ya mkoani Kigoma, imeshushwa daraja mpaka kwenye ngazi ya ligi ya mkoa (RCL), baada ya kushika nafasi ya mwisho katika msimamo wa kundi lake, Kundi C.
Kamati ya Nidhamu imewafungia maisha kutojihusisha na mpira wa miguu mwamuzi wa mchezo kati ya JKT Kanembwa FC v Geita Gold, Saleh Mang’ola na kamisaa wa mchezo huo Moshi Juma baada ya kukutwa na hatia ya upagaji matokeo.
Aidha kamati pia imemkuta na hatia kocha msaidizi wa klabu ya Geita Gold, Choke Abeid na kumfungia maisha kutojihusisha na mpira wa miguu
Makipa Mohamed Mohamed wa JKT Kanembwa na Dennis Richard wa Simba anayecheza kwa mkopo Geita Gold, wamefungiwa miaka 10 kutojihusisha na mpira wa miguu sambamba na kulipa faini ya shilingi milioni kumi (10,000,000) kila mmoja.
Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu mkoa wa Geita (GEREFA), Salum Kurunge, Mwenyekiti wa klabu ya Geita Gold, Cosntantine Moladi na Katibu wa klabu ya JKT Kanembwa Basil Matei wameachiwa huru na Kamati ya Nidhamu baada ya kutokutwa na hatia katika shauri hilo.
Mwenyekiti wa chama cha mpira wa miguu mkoa wa Tabora, Yusuph Kitumbo, Katibu wa chama cha mpira wa miguu mkoa wa Tabora, Fateh Remtullah, Mwenyekiti wa klabu ya JKT Oljoro, Amos Mwita na kocha msaidizi wa Polisi Tabora, Bernad Fabian wamefungiwa maisha kutojihusisha na mpira wa miguu.
Mwamuzi wa mchezo kati ya Polisi Tabora v JKT Oljoro, Masoud Mkelemi na mwamuzi wa akiba, Fedian Machunde wamefungiwa kwa muda wa miaka kumi kutojihusisha na mpira wa miguu, na kutozwa faini ya shilingi milioni (10,000,000) kumi kila mmoja.
Katibu wa klabu ya Polisi Tabora, Alex Kataya, Katibu wa klabu ya JKT Oljoro, Hussein Nalinja, mtunza vifaa wa klabu ya Polisi Tabora, Boniface Komba, na Meneja wa timu ya Polisi Tabora, Mrisho Seleman, wameachiwa huru na Kamati ya Nidhamu ya baada ya kutokutwa na hatia.
Kutokana na maamuzi hayo ya Kamati ya Nidhamu ya TFF, Kamati husika zitakaa kupitia Kanuni na kutangaza timu itakayopanda Ligi Kuu (VPL) msimu ujao na timu zitakazopanda Ligi Daraja la Kwanza msimu ujao.
Ikumbukwe Geita Gold, ambayo kocha wake Mkuu ni Suleiman Matola iliifunga mabao 8-0 JKT Kanembwa Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma, wakati Polisi Tabora iliifunga 7-0 JKT Oljoro Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora.
Na hayo yalitokea wakati Geita na Polisi zikiwa zimefungana kwa pointi Kundi C na timu ya kupanda kupanda Ligi Kuu ingepatikana kwa idadi ya mabao.
Baada ya hapo, TFF ilitangaza kusitisha matokeo hayo na Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi ya Ligi (Kamati ya Saa 72) iliyokutana Februari 16, mwaka huu kupitia taarifa za mechi hizo mbili ikalipeleka suala hilo Kamati ya Nidhamu kufuatia kutilia mashaka upangaji wa matokeo.
Pamoja na hayo, Kamati ya Nidhamu ya TFF inazipa nafasi timu kukata rufaa.
Na kwa mujibu wa kanuni, Mbao FC ya Mwanza iliyomaliza nafasi ya nne ndiyo inayoapswa kuchukua nafasi ya kupanda Ligi Kuu, ingawa uamuzi rasmi utatangazwa na TFF wenyewe.
Akisoma hukumu hiyo baada ya kumaliza kuwahoji viongozi wa klabu na Wenyeviti wa vya vyama vya mikoa husika jana, Wakili Msemwa amesema adhabu hizo zimetolewa kwa kufuata Kanuni za Nidhamu za TFF, na nafasi ya kukata rufaa kwa wahusika juu ya maaamuzi hayo ziko wazi.
Klabu za Geita Gold (Geita), JKT Oljoro (Arusha) na Polisi Tabora (Tabora) zimekutwa na hatia ya upangaji wa matokeo na kupewa adhabu ya kushushwa daraja mpaka ligi daraja la pili (SDL) msimu ujao.
Upande wa klabu ya JKT Kanembwa FC ya mkoani Kigoma, imeshushwa daraja mpaka kwenye ngazi ya ligi ya mkoa (RCL), baada ya kushika nafasi ya mwisho katika msimamo wa kundi lake, Kundi C.
Kamati ya Nidhamu imewafungia maisha kutojihusisha na mpira wa miguu mwamuzi wa mchezo kati ya JKT Kanembwa FC v Geita Gold, Saleh Mang’ola na kamisaa wa mchezo huo Moshi Juma baada ya kukutwa na hatia ya upagaji matokeo.
Aidha kamati pia imemkuta na hatia kocha msaidizi wa klabu ya Geita Gold, Choke Abeid na kumfungia maisha kutojihusisha na mpira wa miguu
Makipa Mohamed Mohamed wa JKT Kanembwa na Dennis Richard wa Simba anayecheza kwa mkopo Geita Gold, wamefungiwa miaka 10 kutojihusisha na mpira wa miguu sambamba na kulipa faini ya shilingi milioni kumi (10,000,000) kila mmoja.
Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu mkoa wa Geita (GEREFA), Salum Kurunge, Mwenyekiti wa klabu ya Geita Gold, Cosntantine Moladi na Katibu wa klabu ya JKT Kanembwa Basil Matei wameachiwa huru na Kamati ya Nidhamu baada ya kutokutwa na hatia katika shauri hilo.
Mwenyekiti wa chama cha mpira wa miguu mkoa wa Tabora, Yusuph Kitumbo, Katibu wa chama cha mpira wa miguu mkoa wa Tabora, Fateh Remtullah, Mwenyekiti wa klabu ya JKT Oljoro, Amos Mwita na kocha msaidizi wa Polisi Tabora, Bernad Fabian wamefungiwa maisha kutojihusisha na mpira wa miguu.
Mwamuzi wa mchezo kati ya Polisi Tabora v JKT Oljoro, Masoud Mkelemi na mwamuzi wa akiba, Fedian Machunde wamefungiwa kwa muda wa miaka kumi kutojihusisha na mpira wa miguu, na kutozwa faini ya shilingi milioni (10,000,000) kumi kila mmoja.
Katibu wa klabu ya Polisi Tabora, Alex Kataya, Katibu wa klabu ya JKT Oljoro, Hussein Nalinja, mtunza vifaa wa klabu ya Polisi Tabora, Boniface Komba, na Meneja wa timu ya Polisi Tabora, Mrisho Seleman, wameachiwa huru na Kamati ya Nidhamu ya baada ya kutokutwa na hatia.
Kutokana na maamuzi hayo ya Kamati ya Nidhamu ya TFF, Kamati husika zitakaa kupitia Kanuni na kutangaza timu itakayopanda Ligi Kuu (VPL) msimu ujao na timu zitakazopanda Ligi Daraja la Kwanza msimu ujao.
Ikumbukwe Geita Gold, ambayo kocha wake Mkuu ni Suleiman Matola iliifunga mabao 8-0 JKT Kanembwa Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma, wakati Polisi Tabora iliifunga 7-0 JKT Oljoro Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora.
Na hayo yalitokea wakati Geita na Polisi zikiwa zimefungana kwa pointi Kundi C na timu ya kupanda kupanda Ligi Kuu ingepatikana kwa idadi ya mabao.
Baada ya hapo, TFF ilitangaza kusitisha matokeo hayo na Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi ya Ligi (Kamati ya Saa 72) iliyokutana Februari 16, mwaka huu kupitia taarifa za mechi hizo mbili ikalipeleka suala hilo Kamati ya Nidhamu kufuatia kutilia mashaka upangaji wa matokeo.
Pamoja na hayo, Kamati ya Nidhamu ya TFF inazipa nafasi timu kukata rufaa.
Na kwa mujibu wa kanuni, Mbao FC ya Mwanza iliyomaliza nafasi ya nne ndiyo inayoapswa kuchukua nafasi ya kupanda Ligi Kuu, ingawa uamuzi rasmi utatangazwa na TFF wenyewe.
Yanga Yapeta, Kagera Afa 3-1 Taifa, Azam Walimwaga Sare 1-1 Na Toto Kirumba
YANGA SC imejiweka katika nafasi nzuri ya kutetea ubingwa wake wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kufuatia ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Kagera Sugar ya Bukoba jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Ushindi huo, unaifanya Yanga SC ifikishe pointi 53 baada ya kucheza mechi 22, nyuma ya Simba SC yenye pointi 57 za mechi 24 ikifuatiwa na Azam FC yenye pointi 51 za mechi 22 pia.
Hadi mapumziko, timu hizo zilikuwa zimekwishafungana bao 1-1, Kagera Sugar wakitangulia kupitia kwa mshambuliaji chipukizi, Mbaraka Yussuf dakika ya tisa, akimalizia krosi ya beki wa kulia, Salum Kanoni.Hata hivyo, Yanga SC ilifanikiwa kusawazisha bao hilo kupitia kwa mshambuliaji wake kutoka Zimbabwe, Donald Ngoma aliyemalizia kwa kichwa krosi ya beki wa kulia, Juma Abdul dakika ya 26.
Yanga ingeweza kwenda kupumzika ikiwa inaongoza kama si beki wake Kevin Yondan kumdakisha penalti kipa wa Kagera, Andrew Ntalla dakika ya 35, baada ya Ngoma kuangushwa na Shaaban Ibrahim ndani ya boksi.Ushindi huo, unaifanya Yanga SC ifikishe pointi 53 baada ya kucheza mechi 22, nyuma ya Simba SC yenye pointi 57 za mechi 24 ikifuatiwa na Azam FC yenye pointi 51 za mechi 22 pia.
Hadi mapumziko, timu hizo zilikuwa zimekwishafungana bao 1-1, Kagera Sugar wakitangulia kupitia kwa mshambuliaji chipukizi, Mbaraka Yussuf dakika ya tisa, akimalizia krosi ya beki wa kulia, Salum Kanoni.Hata hivyo, Yanga SC ilifanikiwa kusawazisha bao hilo kupitia kwa mshambuliaji wake kutoka Zimbabwe, Donald Ngoma aliyemalizia kwa kichwa krosi ya beki wa kulia, Juma Abdul dakika ya 26.
Kipindi cha pili, Yanga walirudi kwa kasi nzuri, huku Kagera wakionekana kucheza kwa kujihami zaidi.
Kagera ilimpoteza beki wake, Shaaban Ibrahim aliyetolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 47 baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano na refa Erick Unoka wa Arusha kwa kumchezea rafu Ngoma.
Kipa Andrew Ntalla alimtemea mpira kiungo Salum Telela ndani ya boksi dakika ya 55, lakini kwa mastaajabu ya wengi kiungo wa Yanga akapiga nje.
Mshambuliaji kutoka Burundi, Amissi Tambwe akaifungia Yanga bao la ushindi dakika ya 62 kwa shuti la mguu wa kulia akimalizia pasi ya mfungaji bora wa Ligi Kuu msimu uliopita, Simon Msuva.
Beki wa kushoto, Mwinyi Hajji Mngwali aliifungia Yanga SC bao la tatu dakika ya 89 akimalizia kona ya Msuva.
Mchezo mwingine wa Ligi Kuu leo, Azam FC imelazimishwa sare ya 1-1 na wenyeji Toto Africans Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza.
Azam FC ndiyo waliotangulia kupata bao kupitia kwa Nahodha wake, John Raphael Bocco dakika ya 23, kwa kichwa akimalizia krosi ya Khamis Mcha ‘Vialli’, kabla ya Toto kusawazisha kupitia kwa Waziri Juma dakika ya 40.
Kikosi cha Yanga SC kilikuwa; Ally Mustafa ‘Barthez’, Juma Abdul/Pato Ngonyani dk90+1, Mwinyi Hajji, Vincent Bossou, Kevin Yondan, Salum Telela, Simon Msuva, Thabani Kamusoko, Donald Ngoma, Amissi Tambwe/Paul Nonga dk79 na Deus Kaseke/Godfrey Mwashiuya dk60.
Kagera Sugar; Andrew Ntalla, Salum Kanoni, Juma Jabu, Erick Kuaruzi, Shaaban Ibrahim, George Kavilla, Daud Jumanne, Babu Ally, Mbaraka Yussuf/Ramadhani Kipalamoto dk74, Martin Lupert/Job Ibrahim dk51 na Paul Ngway/Iddi Kulachi dk57.
Ronaldo Kasherekea Ushindi Dhidi Ya FC Barcelona Akiwa Na Nguo Ya Ndani Tu

Baada ya uwepo wa tambo za mashabiki wa soka wa pande za Real Madrid na FC Barcelona kwa zaidi ya wiki moja kuhusu mchezo wa marudiano wa EL Clasico, usiku wa April 2 ilikuwa ni zamu ya kupata majibu ya tambo za mashabiki wa pande zote.
Ukiachana na ushabiki, takwimu za karibuni za vilabu hivyo zilikuwa zinaonesha yoyote anaweza akashinda, kwani timu zote mbili mechi zao tano zilizopita kila timu wamepata ushindi, ila katika mechi tano walizocheza dhidi yao FC Barcelona alikuwa kashinda mara tatu na Madrid mara mbili.
Ukiachana na ushabiki, takwimu za karibuni za vilabu hivyo zilikuwa zinaonesha yoyote anaweza akashinda, kwani timu zote mbili mechi zao tano zilizopita kila timu wamepata ushindi, ila katika mechi tano walizocheza dhidi yao FC Barcelona alikuwa kashinda mara tatu na Madrid mara mbili.
Saturday, April 2, 2016
Picha Ya Timu Ya Taifa Ya Ujerumani Yazua Tafrani
Picha ya wachezaji wa timu ya taifa ya vijana ya Ujerumani imeleta utata miongoni mwa wanajamii, baada ya kuwekwa katika mitandao ya kijamii, kwa kutafsriwa kama ubaguzi wa rangi dhidi ya waafrika.
Picha hiyo inawaonyesha wachezaji wa timu ya taifa ya Ujerumani, wakiwa wamepakwa rangi nyeusi.
Deinster SV wamekuwa wa kwanza kuiweka picha hiyo katika mtandao wa kijamii wa Facebook na imeleta tafrani kwa kila aliyeiona na kuacha ujumbe ambao ulihushwa na ubaguzi wa rangi.
Hata hivyo ujumbe uliokua umeandikwa katika picha hiyo ulilenga kuwasisitiza kuachwa kwa tabia za kuwabagua wakimbizi ambao wamekua wakiingia kwa wingi katika mataifa ya barani Ulaya.
Ujumbe wa picha hiyo umesomeka hivi: “”Ghasia dhidi ya wakimbizi ni dhaifu tu. Emad na Amar, wewe ni mmoja wetu kama kila mtu mwingine na sisi ni furaha wewe ni pamoja na sisi. ”
Baada ya picha na ujumbe huo kuwekwa katika mtandao wa kijamii, dakika kadhaa baadae umeeonekana kusambaa kwa watumiaji wengine wa mtandao huo zaidi ya 2,000.
Wengine wamekwenda mbali zaidi kwa kuupeleka katika mtandao wa Twitter na mmoja kati yao ameandika: “Ninaelewa ishara hii, lakini haukupaswa kuwa katika mtazamo wa rangi nyeusi.”
Picha Halisi
Kutokana na ujumbe kuendelea kusambaa, kocha mkuu wa timu ya taifa ya vijana ya Ujerumani Soenke Kreibich, alilazimika kutoa ufafanuzi wa picha hiyo kwa kusema wametafsiriwa vibaya na hawakuwa na dhamira iliyoelezwa katika mitandao ya kijamii.
Amesema walipiga picha ya pamoja ya wachezaji wote na walikua katika hali ya kawaida, lakini cha kushangaza, baadhi ya watu wameichukua na kuiwekea rangi na kuianika katika mitandao ya kijamii, tena kwa kuiwekea ujumbe tofauti.
Picha ya kwanza iliyowekwa katika mtandao kijamii wa Facebook ilipata like 17,000, kitendo ambacho kimetafsriwa kama kuwapendeza baadhi ya watu.
Friday, April 1, 2016
Jamal Malinzi Anahofia Pia Uwanja Wa Karume Kupigwa Mnada Na (TRA)
Hiyo inafuatia TRA kukamata magari matano ya TFF kutokana na deni la kodi Sh. Bilioni 1 Milioni 118 ambazo ni malimbikizo tangu mwaka 2010, wakati TFF ikiwa chini ya Rais Leodegar Tenga.
Ofisa wa TRA, Richard Kayombo amesema wamekamata magari hayo ili kuwapa shinikizo TFF waweze kulipa madeni hayo.
Amesema deni hilo la Sh. Bilioni 1 na Milioni 118 ni malimbikizo ya kodi mbalimbali kuanzia mwaka 2010 hadi 2015, zikiwemo za VAT na mishahara ya wafanyakazi wake.
Ofisa huyo wa TRA amesema magari yote yaliyokamatwa, likiwemo basi la wachezaji wa timu ya taifa, Taifa Stars yapo kwenye kampuni minada ya Yono.
“Kwa kweli hali mbaya, na sitashangaa hata kesho Uwanja wa Karume nao ukipigwa mnada, kwa sababu magari waliyokamata thamani yake haifiki deni wanalodai,”amesema Malinzi alipo kuwa akiongea na waandishi.
Ofisa wa TRA, Richard Kayombo amesema wamekamata magari hayo ili kuwapa shinikizo TFF waweze kulipa madeni hayo.
Amesema deni hilo la Sh. Bilioni 1 na Milioni 118 ni malimbikizo ya kodi mbalimbali kuanzia mwaka 2010 hadi 2015, zikiwemo za VAT na mishahara ya wafanyakazi wake.
“Ikumbukwe awali tulikamata akaunti zao kwa sababu deni lilifikia Bilioni 1. 6 na baada ya kupunguza deni tukawaachia akaunti zao, lakini bado halijaisha na ndiyo sababu ya kukamata hayo magari matano,”amesema Kayombo.
Ofisa huyo wa TRA amesema magari yote yaliyokamatwa, likiwemo basi la wachezaji wa timu ya taifa, Taifa Stars yapo kwenye kampuni minada ya Yono.
Thursday, March 31, 2016
TRA Yakamata Magari Matano ya TFF Kutokana na Malimbikizo ya Kodi ya Bilioni 1.118
Mamlaka ya mapato nchini (TRA) imeibukia tena Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) lakini safari hii haijapiga kufuli account za TFF badala yake imeondoka na magari matano yanayomilikiwa na shirikisho hilo kutokana na kulidai kiasi kikubwa cha kodi.
TRA imeamua kuchukua magari hayo ikitaka TFF kulipa deni la malimbikizo ya kodi mbalimbali wanayodaiwa ili warejeshewe magari yao.
Richard Kayombo ni afisa wa TRA amethibitisha kuyakamata magari hayo yanayomilikiwa na TFF lakini amefafanua sababu zilizopelekea kufanya hivyo.
“Ni kweli tumekamata magari matano ya TFF na hayo magari yamekamatwa kama sehemu ya mwendelezo wa kuweza kupata mapato yanayotokana na deni la kodi ambalo TFF hawajalipa.
“Mpaka sasa tunawadai billion 1.118 ambayo ni kodi mchanganyiko kuanzia mwaka 2010 hadi 2015. Ikumbukwe hapo nyuma tulikamata account zao kwasababu deni lilikuwa ni billion 1.6 na tukaweza kupunguza sehemu ya deni lakini bado halijaisha na ndiyo sababu ya kukamata hayo magari matano.”
Hii ni mara ya pili kwa TFF kupigiwa hodi na TRA ikilalamikiwa kulimbikiza madeni ya kodi, mara ya kwanza TRA ilizifunga account zote za TFF lakini safari hii wameamua kuyashikilia magari yao.
Kwa mujibu wa Kayombo, magari hayo yapo kwenye yard ya YONO likiwemo basi ambalo hutumiwa kuisafirisha timu ya taifa ‘Taifa Stars’.
Huu Ndo Mshahara Anaolipwa Mbwana Samatta Nchini Ubeligiji
Mbwana Samatta
Najua unatamani kujua maisha ya wanasoka wa Ubelgiji hususani katika kipindi hiki anachocheza soka mtanzania Mbwana Samatta nchini humo, kiukweli mshahara waSamatta haupo wazi katika vyombo vya habari, ila Ligi ya Ubelgiji wachezaji wanalipwa kwa mwezi.
Kwa mujibu wa mtandao wa www.xpats.com hadi kufikia April 10 2015 mishahara ya wachezaji wengi wa Ligi Kuu Ubelgiji ilikuwa inatajwa kuwa ya wastani wa euro 253,586 kwa mwaka ambazo ni zaidi ya milioni 600 za kitanzania kabla ya kukatwa kodi pamoja na bima.
Kwa mwezi huwa inatajwa kufikia wastani wa euro 20000 ambazo ni zaidi ya milioni 45 za kitanzania. Klabu ya Anderlecht iliyopo nafasi ya tatu katika Ligi, ndio inatajwa kuwa klabu inayolipa mishahara mikubwa zaidi, kwa mwaka Anderlecht inalipa hadi euro 600000 ambazo ni zaidi ya bilioni 1.4 za kitanzania kwa mchezaji mmoja.
Klabu ya KRC Genk anayocheza nahodha wa Taifa Stars Mbwana Samatta inatajwa kuwa miongoni mwa vilabu tajiri ndani ya Ligi Kuu Ubelgiji, ila kwa mujibu wa www.xpats.com, wachezaji wengi wao Ubelgiji hulipwa kati ya euro 25000 hadi 50000 kwa mwezi.Kwa hiyo samatta mshahara kwa pesa ya kitanzania utakuwa kati ya milioni 50 hadi milioni 70 kwa mwezi.
CHANZO CHA STORI: www.xpats.com
Tuesday, March 29, 2016
Mbeya City Wakanusha Kifo Cha Juma Kaseja
Klabu ya Mbeya City ya jijini Mbeya ambayo inachezewa na golikipa wa zamani wa vilabu vya Simba na Yanga Juma Kaseja, mchana wa March 28 imeamua kuweka taarifa sawa kuhusiana na tetesi au uvumi uliokuwa unasambazwa mtandaoni kuhusuKaseja.
Mbeya City imetumia ukurasa wake wa instagram, baada ya kuzipata taarifa zisizo za kweli kuhusu uvumi kuwa golikipa wao Juma Kaseja amefariki Dunia, ukweli ni kuwa huo ni uzushi uliotungwa na watu, Juma Kaseja ni mzima na leo amefanya mazoezi na timu.
Hii ndio post ya Mbeya City iliyotoa ufafanuzi kuhusu tetesi hizo.
“Kuna taarifa zinasambazwa kwenye mitandao ya kijamii hivi sasa kuwa kipa Juma Kaseja amefariki Dunia, tuchukue nafasi hii kuwajulisha kuwa taarifa hizo sio za kweli, Kaseja yupo salama na leo alifanya mazoezi na timu kujiandaa na mchezo dhidi ya Coastal Union”
Subscribe to:
Posts (Atom)