Showing posts with label Instagram. Show all posts
Showing posts with label Instagram. Show all posts

Wednesday, March 30, 2016

Instagram Yafanya Mabadiliko Sasa Kuanza Kuonekana Hivi....Mastaa Wapatwa Na Wasiwasi

http://ichef-1.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/01/141201095350_instagram_logo_624x351_getty.jpg

Mabadiliko ya yaliomo katika mtandao wa instagram yamezua hisia kali miongoni mwa watumizi wake.

Mtandao huo una mpango wa kuweka ratiba ya mpangilio wa ujumbe hivyobasi kupanga machapisho kulingana na maslahi ya mtumiaji badala ya kuyapanga kulingana na mda.
Machapisho mengi ya watu maarufu ambao wana wasiwasi kwamba picha zao huenda zisionekane na watu wengi yamewataka wafuasi wao kufungua kitufe cha ujumbe.
Lakini Instagram imesema kuwa hakuna sababu ya kuwa na wasiwasi.
''Tunasikiliza na tunawahakikishia kwamba hakuna mabadiliko yatakayofanyiwa machapisho yenu kwa sasa'',mtandao huo wa usambazaji picha ulisema katika ujumbe wake wa Twitter.
Hatua hiyo itauweka sawa mtandao huo na ule wa facebook ambao unamilikiwa na kampuni hiyo.
Kwa kufungua kitufe cha ujumbe,wafuasi wa watu hao maarufu watakuwa wakipata ujumbe kila wanapoweka machapisho yao.
Watu maarufu kama vile Kylie Jenner na mwanamitindo Cindy Crawford katika siku za hivi karibuni wamewataka mashabiki wao kufungua vitufe vyao vya ujumbe.

Sunday, March 6, 2016

VIDEO MODEL TUNDA ARUDISHA MAJESHI KWA YOUNG DEE BAADA YA UVUMI KUWA ANATOKA NA NUH MZIWANDA

Tunda 1
Video model Tunda amerudisha majeshi kwa paka Rapa aka Young Dee baada ya uvumi kuwa anatoka na Nuh Mziwanda, picha za Nuh na Tunda zilisamba mtandaoni na kutengeneza hisia kuwa wawili hawa ni wapenzi.

Hii post ya Tunda, na hizi picha akiwa na Nuh Mziwanda.
Video ya msanii wa Marekani Ciara akicheza nyimbo za wanigeria kama Kukere na Duro kwenye mitaa ya Lagos alivyotembelea Nigeria.

Nuh Mziwanda 3  Tunda 2 Young Dee

KUTANA NA DONNIE ANAYETIKISA NIGERIA NZIMA KWA UMBO LAKE HUYU HAPA

Anajulikana kwa jina la Dunnie akiwa ni moja kati ya wasichana wazuri na wenye maumbo makubwa na yakuvutia kutoka Nigeria Tizama hapa picha zake 



 

 

Tuesday, September 22, 2015

Monday, September 21, 2015

PICHA KALI ZA WAREMBO ZILITIKISA HUKO INSTAGRAM>>>JIONEE HAPA>>>>

In the name of instagram,This is why I spend my time on it




Sunday, September 20, 2015