Showing posts with label MAAJABU. Show all posts
Showing posts with label MAAJABU. Show all posts

Tuesday, April 26, 2016

Maiti ya Sangoma Yazua 'Timbwili' Mbeya...Yazikwa Ndani ya Nyumba yake Usiku

MBEYA

Mshtuko! Tofauti na utaratibu uliozoeleka, maiti ya aliyekuwa sangoma maarufu, Mzee Kalinga (80), mkazi wa Kijiji cha Chimala Muwale Wilaya ya Mbarali jijini hapa aliyeaga dunia akiwa na wake 15, watoto 102, wajukuuu 216 na vitukuu 16, imezikwa usiku ikiwa na masharti kibao.

Tukio hilo lilijiri mwishoni mwa wiki iliyopita mara baada ya sangoma huyo ambaye enzi za uhai wake alikuwa ni mganga wa kienyeji aliyetoa huduma ya kutibu maradhi kwa kutumia miti shamba.

Akizungumza na Wikienda, mmoja wa watoto wa marehemu, Shabani Kalinga alisema kuwa, baba yao alitoa maagizo kuwa siku akifa azikwe ndani ya nyumba yake majira ya saa 4:00 au saa 5:00 usiku na maiti yake ifunikwe kwa ngozi ya mnyama atakayechinjwa na nyama yake iliwe usiku.

Hata hivyo, Shabani, ndugu na jamaa wengine wa marehemu walidai kwamba walishindwa kumuuliza enzi za uhai wake ni kwa nini akifariki dunia azikwe kwa mtindo huo.

“Hata sisi tulipigwa na butwaa na kuamini pengine masharti hayo yalitokana na aina ya kazi ya uganga aliyokuwa akifanya,” alisema mmoja wa wanandugu hao.

Mashuhuda wa mazishi hayo walishangazwa na kitendo hicho cha sangoma huyo kuzikwa usiku kwani hawakuwahi kushuhudia msiba wenye masharti kama hayo.

Ukiachilia mbali kuzikwa usiku, pia alizikwa ndani ya nyumba yake na kuacha gumzo kijijini hapo.

SOURCE: GPL

Sunday, April 10, 2016

Huyu Ndo Mwanafunzi Wa Kiume Anayepata ''Hedhi''

George na Amber May Ellis
George Fellowes ni mwanafunzi wa chuo kikuu mwenye umri wa miaka 22 na anaamni kwamba hata yeye hupatwa na ''hedhi ya kiume''.
Anasema kuwa ni rafiki wa karibu wa Amber May Ellis jirani yake na hivyobasi hupata uchungu wa hedhi kila mwezi rafikiye anapopata hedhi.
Uchungu huo anasema huwa mkali hadi kulazimika kuchukua likizo ya kuwa mgonjwa.Akizungumza na Newsbeat,George anaelezea:Nadhani ni swala la kifikra kwa sababu sisi ni marafiki wa karibu sana na tuna hisia sawa.
Katika kipindi cha miaka mitatu iliopita anasema kuwa amekuwa akipata uchungu wa hedhi na ishara hizo ni sawa na zile za wanawake.
Ninapata uchungu chini ya tumbo langu pamoja na katika kinena.Huwa nahisi vibaya na kuwa na hasira na marafiki wangu wengi.Pia huwa na hisia zenye mhemuko.
''Huwa sipendi kulia wakati huo lakini huwa na hasira nyingi.Kuna kitu kimoja kisichomuathiri George hatahivyo.
Sidhani kwamba wanaume wanaweza kupata hedhi bila kutokwa na damu'',anasema.
''Wakati unapokuwa rafiki wa karibu na mtu nadhani homoni zenu hufanana''.
Image captionGeorge na Amber May Ellis
George anaelezea kwamba wakati alipoanza kupata uchungu miaka mitatu iliopita alitaka ushauri wa daktari wake.
Lakini hakukuwa na maelezo hivyobasi alipewa dawa za kumaliza maumivu ya kinena.

Friday, April 8, 2016

Mbwa Anunuliwa Miwani, Viatu Na Headphone

scooby
MBWA mwenye umri wa miaka saba anayeitwa Scooby ni miongoni mwa mbwa 35 maarufu wanaotumiwa na Jeshi la Ulinzi la Uingereza amenunuliwa vifaa malum vya kumkinga hasa awapo kazini.
Private Megan Cropper, 20, with Scooby the Military Working Dog, who is equipped with his own PPE, to keep him safe in the harsh environment of the Jordanian desert. The British Army is currently staging its biggest overseas military training exercise in more than 15 years. See SWNS story SWMUTTS; One of the British Army's oldest working dogs has donned goggles and boots for the largest military exercise in a DECADE - as it trains to support our troops on the front line. Seven-year-old Scooby the springer spaniel is one of 35 hero working dogs currently taking part in Exercise Shamal Storm, the biggest military training exercise in a decade. The clever canine, who has been working for five years, completed a tour of Afghanistan in 2012 as a search dog, who is trained to sniff out explosives in vehicles and luggage. Alongside 1,600 soldiers and 314 vehicles, Scooby has gathered with his handler, Private Megan Cropper, in Jordan for a three-month training exercise. It is to test whether the Armed Forces could successfully mobilise in the event of a full-scale operation.
Scoobyamenunuliwa miwani maalum ambayo itamsaidia kuzia vumbi kuingia machoni, viatu maalum kuzui miba na vitu vingine vinavoweza kumletea madhara awapo kazini pamoja  headphone maalum kwa ajiri ya kunasa sauti mbalimbali zikiwemo za wahalifu na waongozaji wake.
Private Megan Cropper, 20, with Scooby the Military Working Dog, who is equipped with his own PPE, to keep him safe in the harsh environment of the Jordanian desert. The British Army is currently staging its biggest overseas military training exercise in more than 15 years. See SWNS story SWMUTTS; One of the British Army's oldest working dogs has donned goggles and boots for the largest military exercise in a DECADE - as it trains to support our troops on the front line. Seven-year-old Scooby the springer spaniel is one of 35 hero working dogs currently taking part in Exercise Shamal Storm, the biggest military training exercise in a decade. The clever canine, who has been working for five years, completed a tour of Afghanistan in 2012 as a search dog, who is trained to sniff out explosives in vehicles and luggage. Alongside 1,600 soldiers and 314 vehicles, Scooby has gathered with his handler, Private Megan Cropper, in Jordan for a three-month training exercise. It is to test whether the Armed Forces could successfully mobilise in the event of a full-scale operation.
Scooby ni miongoni mwa mbwa wakongwe kwenye kambi ya Jeshi ya Jeshi kikosi maalum cha mbwa (105 Military Working Dog Squadron). Amefanya kazi kwa miaka mitano tangu 2012 kwenye mapigano ya Afghanistan. Kazi yake kubwa ni ukaguzi wa mizigo, vyombo vya moto na kunusa ili kutambua kama kwenye kuna madawa ya kulevya.
Private Megan Cropper, 20, with Scooby the Military Working Dog, who is equipped with his own PPE, to keep him safe in the harsh environment of the Jordanian desert. The British Army is currently staging its biggest overseas military training exercise in more than 15 years. See SWNS story SWMUTTS; One of the British Army's oldest working dogs has donned goggles and boots for the largest military exercise in a DECADE - as it trains to support our troops on the front line. Seven-year-old Scooby the springer spaniel is one of 35 hero working dogs currently taking part in Exercise Shamal Storm, the biggest military training exercise in a decade. The clever canine, who has been working for five years, completed a tour of Afghanistan in 2012 as a search dog, who is trained to sniff out explosives in vehicles and luggage. Alongside 1,600 soldiers and 314 vehicles, Scooby has gathered with his handler, Private Megan Cropper, in Jordan for a three-month training exercise. It is to test whether the Armed Forces could successfully mobilise in the event of a full-scale operation.
Vifaa hivyo vitamsaidia wakati wa mafunzo maalum ya miezi mitatu nchini humo. “Mbwa huyo hang’ati hovyo. Amefundishwa vizuri na amezoea mazingira hasa ya kazi.” Alisema Steve Hood ambaye ni mkufunzi wa mbwa huyo.

Wednesday, April 6, 2016

Mila Za Kufukua Maiti, Kuziosha Na Kuzivisha Nguo Mpya Indonesia

1
Mkazi wa Toraja, Sulawesi Kusini, nchini Indonesia akiwavisha nguo ndugu zake waliokufa siku za nyuma.
UNAWEZA usiamini! Huko Toraja, Sulawesi Kusini, nchini Indonesia, wakazi wa huko wana mila ambayo kuna wakati wanawafukua ndugu zao waliokufa – wakiwemo watoto wadogo – wakawaosha, wakawafanyia kila usafi na kuwavisha nguo mpya za kuvutia.
2
Kwa mujibu wa wakazi wa eneo hilo ambao husema wafu hao huendelea kuishi katika mioyo na akili zao, wanadai marehemu hao huendelea kutembea maeneo mbalimbali duniani wakiwa kama misukule au mizimu.
8
Wakati wa utaratibu huo ambao unajulikana kama Ma’nene, maiti hao hubebwa kutoka sehemu walizofia au kuzikwa na baada ya kufanyiwa mchakato huo wa kijadi, hutembezwa maeneo mbalimbali ya Jimbo la Sulawesi wakiwa katika mstari mmoja.
7
Baada ya utamaduni huo, maiti hao hurejeshwa katika majeneza ambayo hukarabatiwa ikiwa yameharibika wakati wa kuwatoa maiti au majeneza mapya hununuliwa kwa ajili ya kuwahifadhi tena.
5
Utaratibu huo wa Ma’nene ambao humaanisha ‘Sherehe ya Kuwasafisha Maiti’, hufanywa na watu wa Toraja kwa imani ya kuzirudisha roho za wafu katika vijiji vyao.
4
Hivyo, iwapo mtu alifariki akiwa safarini, familia huwajibika kwenda mahali alikofia na kumsindikiza kurejea nyumbani kwa kumtembeza hadi kijijini.
3
Katika siku za nyuma, watu wa eneo hilo walikuwa wanaogopa kusafiri mbali, wakiogopa kwamba pindi wakifia huko wasingeweza kurejea vijijini kwao.
6

Tuesday, April 5, 2016

Sakata La Kijana Aliyefufuka Baada Ya Kufa Lachukua Sura Mpya

Hatimaye Sakata la Uvumi na madai ya kijana,Nyabongo Manosa,ambaye inadaiwa alikufa kwa Malaria mwaka 2013 na kuzikwa na baadaye kudaiwa kuonekana hai katika kijiji cha Iroganzala,Wilayani Mbogwe Mkoani Geita mwaka 2015 limechukua sura mpya.

Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga Mponjoli Rotson,
Kwa Mujibu wa Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita, Mponjoli Rotson amesema kuwa hatua hiyo imekuja baada ya Polisi kwa kushirikiana na mamlaka zingine ikiwemo ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serkali kuazisha na uchunguzi wa kisayansi ili kubaini ukweli juu ya marehemu anaedaiwa kuzikwa na kufufuka.

Akizungumza na Waandishi wa Habari Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga Mponjoli Rotson, amesema Uchunguzi huo unafanyika kupitia jalada la uchuguzi Namba MB/IR/867/2015 liliofunguliwa kuchunguza tuhuma za vitendo vya ushirikina ambapo Uchunguzi utahusisha pia Vinasaba vya DNA.

Aidha katika kesi hiyo Polisi inamtafuta Bw. Emanuel Mutabo[ 42]anayehusishwa na tukio hilo anatafutwa baada ya kutoweka kusikojulikana toka Septemba 14 mwaka 2015 toka nyumba yake iliyolindwa na Polisi kutovunjwa na wananchi.

Kamanda Rodson amesema Nyabongo Manosa [19]alionekana 14 Septemba 2015 katika hali inayohusishwa na mazingira ya kishirikina maarufu kama MSUKULE ikiwa na maana ya mtu anayedaiwa kufariki na kisha kufufuliwa kwa ajili yakutumikishwa katika kazi za shambani na nyumbani.

Kamanda Rotson amesema Baada ya tukio hilo mtu mmoja aliejulikana kwa jina la Manosa Benjamini, mkazi wa kijiji cha Shinyanga A katika kata ya Nyakafuru wilayani Mbogwe alijitokeza akiwa na mkewe na kudai kuwa marehemu aliedaiwa kufufuka alikuwa mtoto wao aliyefariki kwa Maralia june 7 na kuzikwa june 8, 2013 katika kijiji cha Mpunze wilayani Meatu.
Mkuu huyo wa polisi amesema kuwa Bw. Manosa Benjamin, alikabidhiwa kijana huyo kupitia Ofisi ya Ustawi wa jamii wilaya ya Mbogwe, ili kuishi naye wakati uchunguzi wa kina ukiendelea kwani hapakuwepo na uthibitisho wowote wa kisayansi uliofanyika hatua ambayo imeendelea kuibua Uvumi na hofu ndani ya jamii.

Kukamilika kwa uchunguzi huo unaotarajiwa kukamilika ndani ya wiki mbili kutoka sasa kutahitimisha hofu na Uvumi wa tukio hilo ambalo kila kunapokucha limekuwa likiibua hisia tofauti ndani ya jamii bila kupata majibu ya kiuhalisia.

Tuesday, March 29, 2016

Top Ten Ya Nyoka Wenye Sumu Kali Duniani

1. Belcher’s Sea Snake

The most deadliest and poisonous snake known to mankind. Found in Northern Australian and Southeast Asian waters, half a bite will kill 1000 humans with less than a 1/5 of its bite containing venom. The Belcher’s Sea Snake is docile, and it’s mainly fishermen who suffer the wrath when they encounter it while pulling fishing nets from the sea.

2. Inland Taipan

Although a sub-species of the Taipan, the extraordinary Inland Tapian deserves a place of its own in the list. This snake has by far the most deadliest venom for any land snake, and with that making it the most deadliest snake on land. Its venom has the ability to kill 100 human beings and 50 times more potent than the Cobra. Fortunately the Inland Taipan is rare and not aggressive. A bite can kill a human in 45 minutes although no fatalities have ever been recorded.

3. Blue Krait

The Blue or Malayan Krait is the most deadly in its species. Found in Southeast Asia, fatality rates from its bite are 50% even after antivenin administration. Blue Kraits kill other snakes including Kraits. Because of their nocturnal nature, they are more aggressive in dark conditions. In general they are timid and shy creatures, and would rather hide than attack. Their neurotoxin venom is 15 times more potent than the Cobra. A bite will cause paralysis followed by cramps, spasms and tremors. Bites are rare, but before antivenin was developed, fatality rates were at 85%. Even after the administration of antivenin, survival is not guaranteed. Death from a Blue Krait bite normally occurs between 6 and 12 hours. Patients may also suffer a permanent coma if medical attention is delayed.

4. Taipan

Another Australian resident, the Taipan contains enough deadly venom to kill 12,000 guinea pigs from a single bite. The venom causes blockage in the veins and arteries and blood clotting. Tapian venom is very neurotoxin and before the inversion of antivenin, no one survived the Taipan bite. Death normally occurs within 30 minutes to an hour, and even after administration of antivenin, the victim may remain in critical condition. Its behavior is closely linked to the Black Mamba.

5. Black Mamba

The Black Mamba is the most feared snake in Africa. It is very aggressive and will strike with absolute accuracy. Black Mambas are the fastest snakes on land with speeds of up to 25km/hr, and they can strike 12 times continuously. To add-on their ferocity, Black Mambas are known to even purse human beings. Its rapid acting neurotoxin venom can kill 25 adults. Symptoms of a bite will include; severe confusion, double and blurred vision, abdominal pain, vomiting, shock, coma, respiratory arrest followed by death. Before antivenin, fatality rates from Black Mamba bites stood at 100%. Death occurs in 15 minutes to 3 hours after a bite.

6. Tiger Snake

The Tiger is found in outback Australia and its neurotoxin venom is very potent. Death from a single bite can be as rapid as 30 minutes, but normally takes between 6 and 24 hours. Before antivenin was developed, fatality rates stood at 70%. Symptoms from a Tiger snake bite will include; pain in the foot, neck, numbness, tingling and sweating. This will be coupled by paralysis and difficulty breathing. Tiger snakes normally flee when encountered, but if cornered they will strike with maximum precision.

7. Philippine Cobra

Although most Cobra species don’t make the list, the Philippine Cobra is an exception. Its venom is by far the most deadly among the Cobra species, and it’s capable of spitting lengths of 3 meters. The venom is neurotoxin and affects respiratory and cardiac function. A bite can cause respiratory paralysis, neurotoxicity and even death within half an hour. Symptoms will include; nausea, headache, abdominal pain, vomiting, dizziness, convulsions, collapse and diarrhea.

8. Vipers

Vipers are common throughout the world, but the most poisonous snakes of them is the Chain Viper and the Saw Scaled Viper found in China, India, Central Asia, Middle East and in Southeast Asia. Vipers are short-tempered and very aggressive. They are nocturnal and very fast, normally appearing after the rains. A viper bite will result in excruciating pain at the point of bite followed by swelling. Common symptoms will include, bleeding gums, a drop in blood pressure and heart rate. The affected limb will suffer blistering and in certain cases facial swelling and vomiting.  The swollen area may suffer discoloration as plasma and red cells leak into the muscles. Death from cardiac or respiratory failure may occur within 14 days of the bite.

9. Death Adder

This befitting named snake is found in parts of New Guinea and Australia. Death Adders hunt down and kill other snakes normally via ambush. They look similar to the viper family with their triangular shaped heads and squat bodies. A typical bite will contain between 40 and 100mg of venom, and if untreated making it one of the worlds deadliest bites. Death Adder is neurotoxin and may cause paralysis and death within 6 hours. Antivenin is useful in treating Death Adder bites, but before its development the fatality rate from a bite stood at 50%. Death Adders have the quickest strike in the world, the snake can strike and return to striking position less than a 0.1 of a second.

10. Rattlesnake

This is the only snake from the Americas that makes part of the list. The rattlesnake is identifiable by the rattle at the end of its tail. Rattlesnakes fall under the Pit Viper family, and they can strike up to a range of 2/3rd their length. The most common venomous species in North America is the Eastern Diamondback. Baby rattlesnakes are considered more poisonous snakes than adults because of their inability to regulate the amount of venom injected. Rattlesnake venom is hemotoxic, that is it destroys body tissue, organs and causes coagulopathy (disruption in blood clotting). A rattlesnake bite will cause drooling, paralysis, difficulty breathing, scarring, hemorrhaging and possibly fatality. Untreated rattlesnake bites often lead to death. Antivenin can reduce the death rate to below 4% if applied on time.

Siri Mpya Freemason Zafichuka!

chandeJayantilal Keshavji Chande ‘Sir Andy Chande’.

DAR ES SALAAM: Imebainika kuwa, taasisi inaayodaiwa kuwa na imani yenye utata duniani ya Freemason inaanza kupungua nguvu kufuatia wafuasi wake kuachana na nao na kurejea kwenye imani zao za mwanzo chanzo kikiwa kusemwa vibaya kwa taasisi hiyo.
Kwa mujibu wa memba mmoja wa Freemason jijini Dar, idadi ya wafuasi wa taasisi hiyo inapungua siku hadi siku na sasa, viongozi wake wanahaha kutoa elimu ya kuwafanya waliobaki waendelee kubaki.
TWENDE NAYE HUYU
“Unajua wakati inaanza Taasisi ya Freemason ilipata jina kubwa sana kwani watu wengi maarufu walijiunga, lakini sasa yale manenomaneno kwamba kuna ibada ya kishetani, wanaojiunga wanatoa makafara ndugu zao, mara kuna chakula cha damu, baadhi ya wanachama wakaanza kutoka kurejea kwenye imani zao za awali,” alisema memba huyo.
LOS ANGELES Ca. - May 07, 2008: as photographed in the photo studio at the LA Times in Los Angeles, Thursday, May 08, 2008. Freemasons in Southern California are getting younger and more hip. This is Zulu who will be the Worshipful Master of a Masonic lodges that has seen a boom in interest among younger men. Detail of Zulu's ring.
Pete zenye alama ya Freemason.
KUNA IBADA KWELI?
Alipoulizwa kwa nini wafuasi wamekuwa wakiondoka kwa maneno mabaya ya watu kama kweli hakuna ibada,  mwanachama huyo alisema:
“Sifa mbaya, unajua wengine waliona kama wanachafuliwa lakini ukweli wanaujua wao kwamba hakuna ibada za kishetani. Ila tunapokutana wote tunakuwa na maneno ya pamoja kama kuashiria mshikamano wetu.”
TANZANIA KUNA WANACHAMA WANGAPI?
“Kwa Tanzania mpaka sasa kuna wanachama wasiopungua 650. Unajua kikubwa ni masharti ya kujiunga wengi yanawabana, ndiyo maana idadi ni ndogo kwa nchi kama hii yenye watu wasiopungua milioni arobaini.”
NI AKINA NANI?
“Wafuasi wetu wengi wanatoka katika sehemu mbalimbali, kuna walimu, wauguzi, madaktari, watu maarufu, wafanyabiashara wakubwa na wengine ni wanafunzi wa ngazi ya chuo. Lakini tofauti na watu wanavyosema kuwa, kuna viongozi wakubwa wa serikali, si kweli. Viongozi wakubwa wa serikali si wafuasi wetu ila wanaweza kutoa ushauri au kusaidia pale inapobidi.”
KUMBE JENGO LAO LILIKUWA LA BUNGE ZAMANI
Katika mazungumzo hayo, memba huyo alisema kuwa, jengo linalotumiwa kama Ofisi ya Freemason lililopo maeneo ya Posta jijini Dar es Salaam, lilikuwa la bunge wakati wa mkoloni na baadaye serikali ya Tanganyika huru, mwaka 1961.
IMG_20160112_135853Jengo linalotumiwa na wanachama wa Freemason.
UNATAKIWA KUWA MILIONEA ILI KUJIUNGA
Tofauti na watu wanavyodai kwamba, unaweza kujiunga na Freemason ukiwa maskini halafu ukawa tajiri, lakini mwananchama huyo alisema kuwa, anayetaka kuwa mfuasi ni lazima aweze kutoa mchango unaofikia shilingi milioni kuanzia kumi na kuendelea.
KAULI YA SIR ANDY CHANDE YATOA NGUVU
Maneno ya memba huyo yanashibishwa nguvu na aliyewahi kuwa kiongozi wa Freemason ukanda wa Afrika Mashariki, Jayantilal Keshavji Chande ‘Sir Andy Chande’.
Akizungumza wakati fulani jijini Dar es Salaam kwa kuanika hali ya Freemason nchini na duniani kwa ujumla, Sir Chandy alisema kuwa, Tanzania ina wafuasi zaidi ya 600 ambao wanatokana na kada mbalimbali wakiwemo watu maarufu, lakini alisema hakuna viongozi wakuu wa serikali.
HAWATAMBULIKI
Chande alisema kuwa, si kazi rahisi kumtambua mfuasi  wa Freemason lakini wao wenyewe ndiyo wanaofahamiana na kukutana katika vikao mbalimbali ambavyo hufanyika mara moja baada ya siku thelathini.
KUHUSU IDADI KUPUNGUA
Chande alisema kuwa, awali tangu kuanzisha kwake mpaka miaka ya karibuni, wafuasi wa Freemason walifikia 8,000,000 duniani kote lakini kwa sasa wamefikia 6,000,000 kutokana na watu kuielewa vibaya taasisi hiyo.
revivalistAskofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel &Bible Fellowship, Zachary Kakobe.
WAFUASI WANATAKIWA KUBAKI NA IMANI ZAO
Sir Andy Chande alikwenda mbele kwa kusema kuwa, ili uwe mwanachama wa Freemason ni lazima mtu huyo aendelee kuwa muumini wa Mungu katika imani yake ya Kikristo au Kiislam.
UMRI NI HUU
Alisema anayetaka kujiunga awe na umri unaozidi miaka 21 na walio chini ya umri huo hawaruhusiwi kwa sababu ya uwezo wa kutunza mambo lakini pia akasema ili ujiunge Freemason ni lazima familia ya anayetaka kujiunga ua ndugu zake wajue ili kuepuka matatizo utakapotakiwa kutoa michango.
UWAZI NA SHEHE MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM
Akizungumza na gazeti hili juzi kuhusu imani hiyo kuwataka wafuasi wake wabaki kwenye imani zao, Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa Salum alisema:
“Muumini wa Kiislam, akiwa Freemason ajue si Muislam tena. Wale wana ibada mbaya, haitokani na Mungu tunayemwamini sisi. Wewe Kama ni Muislam halafu ni Freemason jiondoe kwenye Uislam.”
HUYU HAPA ZACHARY KAKOBE
Akizungumza na Uwazi, Jumamosi iliyopita kuhusu imani ya Freemason, Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel &Bible Fellowship, Zachary Kakobe alisema:
“Ni unafiki mkubwa kumtumia Mungu aliyeumba mbingu na nchi halafu wakati huohuo ukawa kwenye imani ya Freemason. Chagua moja, Mungu hataki mtu vuguvugu. Kuwa moto au kuwa baridi ijulikane moja. Na wat wajue kwamba, ibada yoyote nje ya Mungu wa kweli ni ushetani.”
AlhadiMussaSalum (1)Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa Salum.
KAMANDA SIRO NAYE ASEMA YAKE
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Simon Siro yeye alisema:
“Freemason ni taasisi ipo kisheria. Ila mimi nataka kushughulika na hao watu mnaowaandika kwamba wanajipatia pesa kwa kuuza fomu feki za Freemason kwa njia ya utapeli. Siku moja nitavaa kiraia halafu nitakwenda pale ofisini kwao nje nikawakamate.”
NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI ANENA
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamadi Yusuf Masauni alipoulizwa juu ya madai kuwa Freemason wanadaiwa kuwa katika imani za kishetani alisema hayo ni madai na hawezi kuyazungumzia kwa sababu hana hakika na hicho kinachodaiwa.
Waandishi: Oscar Ndauka na Elvan Stambuli.

Monday, March 28, 2016

ANGALIA PICHA KANISA LA JABU

The church originated in USA and spread very fast in EUROPE, ASIA and now its found in some of African countries such as Nigeria, Cameroon, South Africa, the people that pray in this church are very cool and they believe that they are praying to the real GOD and they always have a good habit of help the poor people in whole over the world.


Kijana Aliye Fariki Mwaka 2013 Akutwa Akiwa Hai Katika Nyumba ya Mfanyabiashara Mkubwa


Kijana Aliye Fariki Mwaka 2013 Akutwa Akiwa Hai Katika Nyumba ya Mfanyabiashara Mkubwa

Sikiliza Hapa:

Saturday, March 26, 2016

Mauzauza! Familia Zachapwa Bakola Usiku!

mauza uza (4)Wakazi wa Mtaa wa Kiyombo Shule, Nyantira Kata ya Kitunda jijini Dar, wakiwa kwenye kikao kujadili tukio hilo.
GLADNESS MALLYA Risasi Jumamosi
DAR ES SALAAM: Haya ni mauzauza jamani! Wakazi wa Mtaa wa Kiyombo Shule, Nyantira Kata ya Kitunda jijini Dar wamejikuta katika wakati mgumu kutokana na eneo hilo kutawaliwa na mauzauza ya kurushiwa mawe na kupigwa fimbo na watu wasioonekana hali inayowafanya washindwe kulala.
Akisimulia kwa masikitiko makubwa, mkazi mmoja ambaye ni mwathirika wa tukio hilo aliyejitambulisha kwa jina la mama Kasim alisema mawe hayo huanza kurushwa kwenye mabati juu ya nyumba kuanzia saa tatu usiku lakini wakitoka nje hawamuoni anayerusha na mawe pia.
mauza uza (2)
Viongozi wa Serikali ya Mtaa huo wakiongoza kikao.
“Ukweli tunateseka. Hatujui ni kitu gani kwani kuna kipindi yakianza kurushwa hivyo wote hapa nyumbani kwangu tunaugua miguu na kushindwa kutembea. Hapa mtaani kila mmoja na majanga yake, kuna wengine wanachapwa fimbo lakini wanaowachapa hawaonekani. Wakiamka asubuhi wanakuta wana alama za fimbo huku wamevimba.
“Wachungaji waliwahi kuja kuombea hapa kwenye nyumba ya jirani lakini walitoka nduki na kuacha kila kitu baada ya kurushiwa mawe na mrushaji haonekani,” alisema mama Kasim.
Kutokana na mauzauza hayo, mwenyekiti wa eneo hilo, Issa Chilemba wiki iliyopita aliitisha mkutano wa hadhara ambapo wakazi walijianika wanavyoteseka kwa kurushiwa mawe usiku na kushindwa kulala huku wengine wakieleza kuwa wakiamka asubuhi hujikuta wamechanjwa mwili mzima bila kujua ni nani anayewachanja.
mauza uza (3)
Kikao kikiendelea.
Pamoja na kurushiwa mawe na kuchanjwa wapo wengine walioeleza kuwa, walivuta umeme kwenye nyumba zao lakini uliwaka kwa siku moja na kuzima na walipoita mafundi hawakuona tatizo zaidi ya kugundua kwamba ni mambo ya kishirikina.
Katika mkutano huo, wananchi na mwenyekiti wao walikubaliana kuunda kamati ambayo itashughulikia suala hilo kwa kuchunguza wachawi wanaofanya mauzauza hayo, pia kuendelea kufunga na kumuomba Mungu kila mmoja kwa imani yake.
mauza uza (1)
Moja ya nyumba ya familia hizo.
“Kiukweli hili jambo ni la aibu na limenikera sana. Tunaweza kuleta mtaalam ‘sangoma’ hapa akawaumbua watu na heshima zao, hivyo nawaomba wanaofanya hivyo waache. Au kama kuna mtu anayedhaniwa kufanya hivyo naombeni mnipe jina lake kwa siri.
“Kupitia kamati hii maalum tunayounda ikipata majibu tutafanya maamuzi magumu ambapo atakayegundulika kwamba ndiye anayefanya mauzauza haya atahamishwa eneo hili,” alisema mwenyekiti huyo.
Kwa mujibu wa wakazi wa eneo hilo, mwaka 2013 kulikuwa na tatizo kama hilo lakini waligundua kwamba ni kijana mdogo aliyekuwa akitumiwa kichawi na bibi yake ambapo walimrudisha kwao mkoani Njombe lakini Februari, mwaka huu mauzauza hayo yalianza tena.

Thursday, March 24, 2016

UKISIKIA KUFA KISHUJAA NDIO HUKU>>HEMBU TAZAMA TIMBWILI LA MWANAJESHI NA NYOKA UJUE NANI ZAIDI HAPO


Maajabu ya Paka Mwizi wa Nguo za Ndani

Brigit (3)Nguo za ndani na soksi zilizoibwa na paka huyo anayeitwa Brigit
Hamilton, New Zealand
PAKA mmoja huko Hamilton nchini Uholanzi amegundulika kuwa na mchezo mchafu wa kuiba nguo za majirani na soksi hasa wakiwa wamelala usiku wa manane.
Brigit (1)
Taarifa zilizotolewa na mmiliki wa paka huyo, Sarah Nathan zimeeleza kuwa katika kipindi cha miezi miwili, paka huyo mwenye umri wa miaka sita ambaye anayejulikana kwa jina la Brigit aliiba nguo za ndani za ndani (boxer) 11 na zaidi ya soksi 50. Cha kushangaza ni kuwa, paka huyo huiba nguo za ndani za wanaume pekee.
Brigit (2)
Sarah Nathan aliandika ujumbe unaoelezea tabia ya paka huyo isiyo ya kawaida katika mtandao wake wa facebook na kueleza kushangazwa kwake na tabia hiyo huku akianika wazi namna ambavyo paka huyo amekuwa akimpa wakati mgumu hasa anaporudi nyumbani na vifurushi vya nguo alivyoiba huko mtaani.
Brigit (4)
”Tabia hiyo sasa inazidi kuwa mbaya. Lazima kuna mtu ambaye anakosa vitu vyake”, alisema katika ujumbe wake kwenye ukursa wa facebook lililosambazwa mara 500.
Brigit (6)Mmiliki wa paka huyo, Bi Nathan (kushoto).
Bi Nathan ameeleza kwamba tatizo la paka huyo kuwa mwizi lilianza alipogundua vipande kadhaa vya nguo za ndani katika nguo zake anapoziosha.
Brigit (7)Tangazo lililowekwa na Sarah Nathan kuhusu wizi wa paka huyo.
”Nguo hizo za ndani hazikuwa zetu, na siku moja Brigit aliingia katika chumba cha wageni (nyumbani kwa Nathan) akiwa amebeba soksi”, akisema kuwa waathiriwa wa Brigit walikuwa majirani katika nyumba za ghorofa.