MZEE WA KANISA ANASWA AKIFANYA UPUUZI LIVE BILA KING'AMUZI NA MUUMINI WAKE...! Posted by maskani bongo at 7:50 AM Na Mwandishi wa Maskanibongotz Mzee mmoja Mkoani Singida ambae ilidaiwa ni mzee wa Kanisa aliyefahamika kwa jina na Piason Mgundoi amenaswa live bila king'amuzi akifanya upuuzi na binti mdogo ambae ni muumini wake. Maskanibongotz imerushiwa picha hizo juzi na chanzo chetu kilisema kuwa mzee huyo mwenye heshima kubwa lakini amekuwa na tabia za za kupenda dogodogo sana kiasi cha kutishia uhai wa kanisa hilo jina linahifadhiwa. Credit: Maskanibongotz Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin