Thursday, April 30, 2015

Kutana na picha za kitambo za baadhi ya mastaa wa bongo, Kajala, Ay, Salama, ya Diamond na Ali Kiba, Rita Paulsen na Mchomvu,

frame 2Kuna zile picha tu ukiziona za zamani kama ni zako zinakufanya ufikirie mengi, inaweza kuwa hata za watu wengine pia ambapo inabidi upime mwenyewe, kuna watu sura zao hazijabadilika sana na wengine zimebadilika….. jionee kwenye hii list hapa chini.
Kila wiki millardayo.com itakua inakuletea pichaz za zamani za mastaa mtu wangu ambapo kwa leo, hii picha ya kwanza hapa chini ni ya mwigizaji Kajala akiwa shule ya sekondari Jitegemee Dar es salaam time hizo.
Kajala Masanja
Kajala 1
Kajala wa sasa
Ad 1
Mtangazaji wa CloudsFM Adam Mchomvu na rapper Chidi Benz
ad 2
Adam Mchomvu kwenye muonekano wa sasa.
AD 5
Ay kwenye muonekano wa zamani na wa sasa.
AD 4 AY
Ay wa sasa.
AD 6
Mtangazaji Salama Jabir wa EATV na Ay time hizo
AD 7
Salama wa sasa.
ad 8
Madame Rita Paulsen mwaka 2008.
AD 9
Madame wa sasa.
Diamond Ali Kiba na Berry Black
Diamond, Ali Kiba na Berry Black time hizo.
Meninah TBT Bongo star search
Ni kitambo lakini sio sana hapa ni wakati mwimbaji wa bongofleva Meninah alivyoshiriki kwenye shindano la Bongo star search
Meninah 2
Meninah wa sasa.
TBT gani imetisha kati ya zote hizi?