JUX ASEMA JACK CLIF YUPO ‘OKAY’ HANA TATIZO HUKO GEREZANI
‘’Huwa tunafanya mawasiliano ingawa sio mara kwa mara ..she is okay..yuko sawa..nimewasiliana naye kama miezi miwili iliyopita ..siwezi kuongelea sana vitu vingine..hata hivyo yeye mwenyewe hapendi niwe naongea ongea na watu kuhusu maisha yake,’’Jux