JIJI LETU

Sunday, July 20, 2014

NDEGE NYINGINE KUTOKA NCHINI UGANDA YATUA BARABARANI BAADA YA KUPATA HITIRAFU IKIWA ANGANI

01

Baada ya habari za ndege ya Malaysia airline hivi sasa ajali nyingine imetoka karibu kabisa na Tanzania ambapo ni nchini Uganda. Ndege hiyo ambayo ilikuwa imebeba wanajeshi 6 wa Marekani wakitoka Entebe kuelekea South Sudan imetua kwenye barabara ya magari baada ya hitilafu kutokea ikiwa hewani.
Lakini kwenye hii ajali hakuna aliyepata majeraha au kufariki kutokana na taarifa ya msemaji wa polisi nchini Uganda.
00
at 11:36:00 AM
Newer Post Older Post Home

categories

AFYA AJALI AJIRA BIG BROTHER BONGO MOVIE Bongofleva Bongomovie BUNGENI ELIMU FASHION FIESTA FUMANIZI Habari Za Mitaani HIP HOP Instagram KIMATAIFA KITAIFA MAAJABU Madawa ya kulevya MAGAZETI MAPENZI MBELE MICHEZO RECORD SIASA TECHNOLOGY UDAKU UKATILI UTAFITI VITUKO WASANII WhatsApp Videos

Popular Posts

  • MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI JULY 11 2015
  • Audio: Wema akiongelea uamuzi wa kuwania ubunge wa viti maalum
  • KURASA ZA MWANZO NA MWISHO MAGAZETINI LEO AUGUST 15 2014
  • MJUE HUYU MWANAUME ANAYEPENDELEA KUVAA GAUNI NA VIATU VIREFU...ANAISHI DODOMA
  • KURASA ZA MWANZO NA MWISHO ZA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI MAY 31,2014
  • Serikali Kupitia Upya Mikataba ya Shirika la Reli Tanzania (TRL)
  • Mama Yangu Hapendi Nihame Nyumbani Kwetu – Ray
  • Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Tarehe 8 May 2015
  • MSHINDI WA BIG BROTHER IDRIS SULTAN AINGILIA UGOMVI WA WEMA NA ZARI.
  • NAFASI MPYA ZA AJIRA LEO TAR 14 AUGUST 2014. APPLY MAPEMA.
Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.