Monday, July 21, 2014

SHAKIRA AVUNJA REKODI YA MTU WA KWANZA KUWA NA LIKES MILION 100 ZA FACEBOOK


Muimbaji Shakira wa Colombia ameweka rekodi mpya kwa kuwa mtu
 wa kwanza kufikisha likes milioni 100 kwenye mtandao wa kijamii wa
 Facebook.


Mwezi March mwimbaji huyo wa ‘Can’t remember to forget you’
 alitajwa kuwa ‘most-liked musician on Facebook’ kwa kumzidi
 kidogo Rihanna. Wakati huo alikuwa na likes milioni 86.3.

Kusheherekea mafanikio hayo Shakira amepost video katika akaunti
 yake ya facebook akiwashukuru mashabiki wake.

“That is incredible, Thank you so much for your support, for your 
loyalty, for your love. It’s really unbelievable. Thank you so much.”