Sunday, September 7, 2014

HUU NDIO MWONEKANO WA MJENGO MPYA WA MADEE NDANI NA NJE YA MJENGO HUO, NI SHIDAAAH

Image00006Hit Maker wa ‘pombe yangu’ na ‘tema mate tuwachape’ leo ametoa Exclusive picha kupitiamillardayo.com kuhusu mjengo wake ambao upo Mbezi ya Kimara Dar es salaam na umechukua miaka 5 mpaka kumalizika.
Kwa sasa nyumba hii imemalizika na anaishi mlinzi tu na ni nyumba ya vyumba 4 Dinning na Sitting Room ambapo kuhusu gharama kamili ya mjengo huu Madee amesema hana kumbukumbu kamili ingawa kwa harakaharaka amedai ni kama milioni 100 za kitanzania.
Image00005
Image00001
Image00004
Image00003
Image00002