Monday, October 13, 2014

BIG BROTHER AFRICA 2014: VIDEO YA WASHIRIKI WA BOTSWANA NA NIGERIA WAKIOGA PAMOJA ( WANAUME KWA WANAWAKE ) IKO HAPA


Baada  ya  Jana  kukuletea  Episode  Tano  muhimu  zilizopewa  jina  la  Video  5  Hatari  toka  jumba  la  Big Brother  Africa zikianika  kila  kitu tangu  shindano la mwaka  huu lianze, hii  ni  nafasi  nyingine  tena  ya kukuletea  maisha  binafsi  ya  washiriki  wa  jumba  hilo  wakioga  pamoja  bafuni....


Kamera  za  jumba  hilo la  kikubwa  zimewamulika  na  kuwanasa  live  mshiriki  wa  kike  wa  Mozambique( Mira), mshiriki  wa  kiume  wa  Nigeria ( Tayo)  na  Mshiriki  wa  kike  wa  Botswana ( Sheillah)  wakioga  pamoja  bafuni.

Kumbuka, video  kama  hizo  ni  kwaajili  ya  VIP  tu, lkn  site  yako  pendwa  itahakikisha  unazipata  bila  kujali  ni  VIP  au  la.

Katika  shindano  hili, Tanzania  inawakilishwa  na  wshiriki  wawili  ambao  ni  Idris  na  Laveda  ambao  kikukweli  wanafanya  vyema  sana . 
  
Habari  njema  tu  ni  kwamba  mshiriki  wetu  wa  kike ( Laveda)  ni   Head  of  House  ikiwa  na  maana  kwamba  yeye  si  miongoni  mwa  washiriki  walioko  kikaangoni  kutolewa  wiki  hii.

Ingia  hapo  juu  kushuhudia  matukio  yote  ya  Big Brother  Africa- 2014