Usiku wa Juzi Pale mlimani City Palikuwa na Fainali za Mashindano ya Miss Tanzania 2014 na Taji likachukuliwa na Mrembo Sitti Mtemvu …
Leo Asubuhi Mitandoni zimejaa Habari Kuwa Miss huyo Kapendelewa na pia Hafai kutwaa Taji hilo na wengi wakilalamika ilikuwa imepangwa kwa kuwa baba yake ni mbunge
…
…
Jamani Embu Tujuzeni kwa wanao jua ..maaana huko Insta ni Shida balaaaa…
Kwa Mfano Martin Kadinda Kaandika Hivi Instagram:
Daaaaah… kufanya mazuri Zaidi Ya waliopita ila Kwangu wewe hapana….Anko Ludenga nakukubali Sana ila Kwa hili am not ur side!! sitti am not hating but Kwa upande wangu hapana.. I just wish u all the best Kwa majukumu yako And ukatuwakilishi vizuri maybe unaweza Ukimind poa ila sio wote huwa tunakubaliana na matokeo…. Matusi noo Kwa my page.. Ukitukana nakublock”