Friday, October 17, 2014

UMEONA ALICHOKISEMA FID Q BAADA YA WATU KUENDELEA KUUZUNGUMZIA UMRI WA MISS TANZANIA SITTI MTEMVU?

Miss TZKama ulifatilia shindano la Miss Tanzania 2014 weekend iliyopita utakua unajua kilichotokea na kinachoongelewa ikiwa ni baada ya baadhi ya watu kupinga au kutoridhishwa na matokeo ya mshindi aliyetangazwa ambae ni Sitti Mtemvu mtoto wa mbunge wa Temeke Abbas Mtemvu.
Kumekuwepo na malalamiko mengi sana hasa kwenye mitandao ya kijamii ambako zimesambazwa hadi picha zake pamoja na hati za kusafiria, ishu nyingine ikizungumzwa kwamba kuna uwezekano amedanganya umri na elimu yake.
Wakati millardayo.com inaendelea kumtafuta Miss Tanzania Sitti, haya ndio aliyoyaandika rapper Fid Q kuhusu malalamiko ya Watanzania yanayoendelea juu ya umri wa mrembo huyu.
Fid Q 1
Fid Q 2
miss TZ 2