Thursday, November 13, 2014

MTOTO ALIYEPOTEA APATIKANA AKIWA AMEFARIKI #HEKAHEKA

blogger-image-69985728
Hekaheka ya leo inahusu mtoto aliyepotea  katika mazingira ya kutatanisha na familia yake kufanya jitihada za kumtafuta bila mafanikio, baadae  mwili wake kukutwa umefukiwa kwa matofali katika nyumba ambayo haijamalizika katika ujenzi.


Bonyeza play kusikiliza.