MAJAMBAZI WAVAMIA GARI LA BONITE NA KUUA NA KUPORA FEDHA... PATA HABARI KAMILI HAPA
Majambaz wamevamia gari ya bonite iliyokuwa imebeba fedha ambazo ni makusanyo ya depot zao za mjini moshi na kumuua mlinzi mmoja na kumjeruhi dereva Kwa kumpiga risasi za mbavu Kisha kutoweka na fedha zote jana jion