Friday, April 3, 2015

SERIKALI YA KENYA IMEMTAJA MSHUKIWA MKUU ALIYEPANGA NJAMA ZA SHAMBULIZI LA CHUO KIKUU KENYA ZAWADI YA DOLA 53,000 KWA ATAKAYEMKAMATA


Serikali ya Kenya imemtaja Mohammed Kuno kama mshukiwa mkuu aliyepanga njama za shambulizi la chuo kikuu mjini Garissa.Katika taarifa kwa vyombo vya habari waziri wa usalama nchini Kenya Joseph Nkaiserry alitoa zawadi ya dola 53,000 kwa mtu yeyote atakayemkamata mshukiwa huyo ama kutoa habari zake.