Friday, May 1, 2015

HAMISA MABETO KAMA KIM, AMBER ROSE! UNAJUA KAFANYAJE?? SOMA HAPA

Na Hamida Hassan
Tabia ya mastaa kujipiga picha za nusu utupu wakiwa na mimba haikuwepo Bongo, wamekuwa wakifanya hivyo mastaa wa nje kama vile Kim Kardashian, Amber Rose na wengineo lakini mwanamitindo, Hamisa Mabeto amefanya hivyo kisha kuzitupia picha zake mtandaoni.


Hamisa Mabeto.
 Hamisa alijifungua hivi karibu baada ya kufanikiwa kuificha mimba yake lakini kumbe alijipiga picha hizo za kihasara kisha kuzihifadhi.
 Hata hivyo, baada ya mwanadada huyo kuziachia picha hizo, wapo walioonekana kumpongeza kwa namna mimba ilivyokuwa imempendeza lakini wapo waliomponda kwa kusema kuwa, hayo siyo maadili ya Kitanzania.
 Mabeto hakuweza kupatikana mara moja kuzungumzia sababu ya yeye kupiga picha hizo na kuziachia kwenye mitandao.



H