Monday, February 9, 2015

Tuzo nyingine aliyoshinda Diamond Platnumz kutoka Uganda.


Tuzo nyingine kutoka Uganda imekabidhiwa kwa Diamond Platnumz, ni tuzo za Hiphop Music za nchini Uganda. 
 
Kwenye kipengele hiki Diamond alikuwa anawani tuzo hii na wasanii kutoka Kenya, Uganda, na Rwanda. Bebe Cool ndio ameshinda tuzo nyingi zaidi, ameshinda sita.
 

Kipengele kilikuwa hivi
Tayali – Urban ft Iyanya
Sitya Loss – Eddy Kenzo
Ndagushima – Ommy Dimpoz
Number One – Diamond Platnumz
Nishike [Touch Me] – Sauti Sol
Love You Everyday – Bebe Col
Kioo – Jaguar
Baramushaka – Knowless