Tuesday, May 5, 2015

KIM KARDASHIAN, RIHANNA NA BEYONCE WALIVYOTOKELEZEA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI

Rihanna akiwa amevaa vazi la njano linalojulikana kama Guo Pei kwenye zulia jekundu.  Hapa palikuwa ni kwenye maonyesho ya mavazi yaliyojulikanakama Met Gala yaliyofanyika jijini New York, Marekani, jana.
Rihanna akisadiwa kunyanyuliwa gauni lake wakati akipanda ngazi.
Kim Kardashian akiwa na mume wake Kanye West.
Kim akiwa katika pozi wakati akipanda ngazi.
Kardashian na Kanye West wakipiga picha kwenye zulia jekundu.
Beyonce's akiwa na mume wake Jay Z.
...Akipanda ngazi kwa pozi.
Beyonce's akiwa katika pozi mbalimbali.
ONYESHO la mavazi yaliyoandaliwa na Metropolitan Museum of Art's Costume Institute gala yalifanyika jana jioni  New York na kuhudhuriwa na mastaa tofauti wakiwemo Kim Kardishian, Kanye West, Rihanna, Beyonce na Jay Z.
Kiingilio katika onyesho hilo kilikuwa $25,000 sawa na 49,942,500/=