Saturday, May 16, 2015
PICHA YA WAZIRI NYALANDU AKIWA AMEMPAKATA ASKARI YAFIKA BUNGENI NA KUZUA UTATA.......MSIKILIZE MBUNGE NASSARI AKIONGELEA SAKATA HILO.
Waziri Nyalandu akiwa amembeba mmoja wa askari wa kike.
Kitendo hicho kimeonekana kuwakera wabunge ambao wamepaaza sauti na kuhoji uhalali wa waziri kumshika kiuno Askari wa kike....
Hapo chini kuna audio ya Mbunge Nassari akiongelea sakata hilo.
Newer Post
Older Post
Home