Walikuwepo watu mbalimbali maarufu wa Tanzania wakiwemo viongozi wa serikali kama Waziri wa maendeleo ya jamii jinsia na watoto Sophia Simba na Naibu waziri Adam Malima kutoka Wizara ya Fedha ambapo Kitu kingine alichokileta Sitti ni Foundation yakeSitti Tanzania Foundation.
Ni gari ambalo badala ya namba za kawaida limeandikwa jina, utaratibu ambao unaruhusiwa sasa hivi kwa Tanzania ambapo mwanzoni wakati wanatangaza huu utaratibu walisema mwenye kutaka jina badala ya namba kwenye gari atalipia shilingi MILIONI 5 kwa miaka mitatu.