ASKARI POLISI WAGONGWA NA GARI BAADA YA GARI HIYO KUKATAA KUSIMAMA
Ajali Arusha: Askari Polisi wagongwa na gari
Ni baada ya dereva kusimamishwa akakataa, Trafiki wakapiga simu mbele, alipofika akakutwa askari wameweka kizuizi njiani akawagonga.
Taarifa zisizo rasmi watatu wamefariki hapo hapo