Monday, September 28, 2015
CHOPA YA LOWASSA YASHINDWA KUTUA TANGA,YAWA GUMZO KILA KONA
Picha na Maktaba
Chopa iliyombeba Lowassa imeshindwa kutua kwenye eneo la Mkutano kutokana na Umati wa watu waliojitokeza mda huu hapa Tanga
Hivyo imelazimika kwenda kutua airport kisha kurudi uwanjani kwa gari!!
Newer Post
Older Post
Home