Alikua kwenye safari ya kwenda Mbeya kufanya show lakini ikashindikana manake alibaki mikononi mwa polisi mpaka leo October 28 2014 alipopandishwa Mahakamani Kisutu Dar es salaam kwa mara ya kwanza na kusomewa mashitaka matatu ambayo ni kukutwa na dawa na vifaa vya kutayarishaji uvutaji wa dawa, kusafirisha dawa ya kulevya na utumiaji wa dawa za kulevya.