Sunday, October 12, 2014

PICHA:TAZAMA MJENGO WA BI MWAMVITA MAKAMBA AMBAYE NI MTOTO WA MAKAMBA ALIOUJENGA HUKO DUBAI



Hii  nyumba  inamilikiwa  na  Bi mwamvita   Makamba ambaye  ni  mtoto  wa  YUSUF   MAKAMBA,
sasa  usiseme  kuwa  Tanzania  ni  masikini  bali  sema  mimi  ni  masikini    kama  hauna  hela  maana   utasemaje   ni  nchi  masikini wakati  wapo  watu  wenye  noti  kama  hawa  wakina  Mwamvita????   inasemekana hii  nyumba  imejengwa  huko   DUBAI