Wednesday, October 8, 2014

VITUKO VYA BIG BROTHER VIMEANZA: VIDEO YA MSHIRIKI WA NIGERIA NA NAMIBIA "WAKICHEZEANA MAKALIO" YAVUJA


Ikiwa  ni  siku  moja  tu  Imepita  tangu  shindano  la  Big Brother Africa  lianze, tayari  Video   za  washiriki  wakifanya  mambo  ya  kikubwa  na  vituko  vingine  zimeanza  kuvuja.
 
Lilian  ambaye  ni  mshiriki toka  Nigeria  na  Luis  ambaye  anaiwakilisha  Namibia  wamenaswa  Live  na  kamera  za  jumba  hilo  wakichezeana  Makalio.....
 
Unataka  kuiona  Video?  Ingia  <<  HAPA>>
 
Ingia  hapo  juu  kujionea  matukio  ya  moja  kwa  moja  toka  ndani  ya  Jumba  la  Big  Brother  Africa. Usingoje  Kusimuliwa!!!