Sunday, November 2, 2014

HUYU MASANJA MKANDAMIZAJI KWA KUTUMIA FURSA SWALA ZIMA LA WAREMBO YUK VIZURI, TAZAMA HAPA AKIWA NA TOTOZI

 


Producer Man Maji Man Water ambalo jina lake kamili ni John Vomo Shariza Siku ya Jumamosi tarehe 21 Septemba 2014 katika kanisa la KLPT Kigamboni jijini Dar es salaam alifunga ndoa na mke wake aliyejulikana kwa jina Matilda Jimmy Igoti katika ukumbi wa Karimjee Hall jijini Dar es salaam,Zitazame picha za kilichojiri kwenye hafla hiyo