Sunday, December 7, 2014

PICHA ZINATISHA!! MAMA ALIYEUA MTOTO WAKE KWA KUMCHINJA NAYE ACHINJWA NA WANANCHI WENYE HASIRA KALI HUKO MARA


Mwili wa mwanamke ukiwa umekatwa kwa mapanga na wananchi wenye hasira kali kwa kitendo alichokifanya cha kumuua mtoto wake wa kambo kwa kumchinja kwa panga.
Mwili wa mtoto aliefariki kwa kuchinjwa na mama ake wa kambo kwa kutumia panga linaloonekana hapo chini pichani.

Tukio lilitokea hivi karibuni mkoani Mara la mama wa kambo kumchinja mtoto wake kwa kutumia panga hadi kufariki, limechukua sura mpya baada ya mama huyo nae kushambuliwa na wananchi wenye hasira kali kwa kukatwa katwa na mapanga mpaka kufariki.

Tukio la kukatwa katwa mapanga mama huyo limetokea baada ya wananchi wa kijijini hapo walioshikwa na jazba kali kwa kutokubaliana na kitendo cha kinyama alichomfanyia mtoto huyo kwa kumkatishia maisha yake.

 Hata hivyo wananchi walionekana kujichukulia hatua mikononi kwa kumuua mama huyo, kwa kile kilichodaiwa hawakuona hatua zozote za kisheria alizochukuliwa mtuhumuwa huyo kwa kitendo cha kinyama