Nasisitiza watu msiongee vitu bila kujua ukweli,mnapoteza muda kumuongelea mtu ambae kashaongelewq kwa vitu kibao na anavumilia na anajua y watu wabaya wanamtengenezea ubaya,ila watu wangu wananielewa nilivyo so respect kwao. Hio ndo siku ambayo ile picha imezagaa nilikua,!chidi vits