Habari zilizoko chini chini ni kwamba, chama tawala kinajiandaa kumtumia platnumz katika kampeni zake za uchaguzi mkuu 2015..
zaidi ya Tshs 300 milioni zimeandaliwa kumlipa huyu msanii ili atangaze sera za chama na kuvuta watanzania wakipigie kura hiki chama kiingie ikulu kwa mara ya tano...
Diamond Jiandae kupotea kisanaa!
Jifunze kutoka kwa marlow na Mr Nice! CCM ni chama cha laana kwa wasanii na watanzania kwa ujumla kwa sasa!
Ukikimbilia hizi pesa tu wewe ujue umeisha.
Your deadline will be 2015 kimuziki..