![]() |
Wachezaji wa Simba Sc wakipiga stori na watoto wenye ulemavu wa ngozi .
|
![]() |
Wachezaji wakiwa wamebeba watoto wenye ulemavu wa ngozi |
![]() |
Kushoto ni Msemaji wa Simba SC, Hajji Manara akitafakari jambo |
![]() |
Mchezaji wa Simba SC akionesha bango |
![]() |
Mkuu wa kituo cha Buhangija Jumuishi Peter Ajali akiwakaribisha wachezaji wa Simba sc ambapo alisema hiyo ni klabu ya kwanza ya mpira nchini Tanzania kufika katika kituo hicho. |
![]() |
Eneo la tukio |
![]() |
Watoto wenye ulemavu wa ngozi wakiwa kituo |
![]() |
Kocha wa timu Simba sc Goran Kopunovic akizungumza jambo katika kituo hicho |
![]() |
Wachezaji wa Simba SC wakiwa wamebeba bango katika kituo cha Buhangija leo |
![]() |
Eneo la tukio |
![]() |
Wachezaji wa Simba sc wakiwa Buhangija |
![]() |
Wachezaji wa Simba sc wakiwa Buhangija mjini Shinyanga |
![]() |
Mchezaji wa Simba SC Ibrahimu Twaha akizungumza kwa niaba ya wachezaji wenzake ambapo alieleza kusikitishwa na vitendo vya mauaji ya albino na kujikuta akitoa machozi. |
![]() |
Mchezaji wa Simba sc Emmanuel Okwi akipiga stori na watoto wenye ulemavu wa ngozi |
![]() |
Watoto wenye ulemavu wa ngozi wakiwa wamebeba bango |
![]() |
Zoezi la kugawa juisi likiendelea |
![]() |
Kocha wa timu Simba sc Goran Kopunovic katika pozi na mtoto mwenye ulemavu wa ngozi leo |
![]() |
Wachezaji wa Simba sc wakiondoka kwenye kituo cha Buhangija-picha zote na Kadama Malunde-Shinyanga |