JIJI LETU

Wednesday, April 15, 2015

BREAKING NEWZ:AJALI YAUA MMOJA, 25 WAKIJERUHIWA NZEGA

Basi la abiria la Jordani baada ya kupinduka wilayani Nzega leo.
Mashuhuda wa ajali hiyo wakiwa eneo la tukio.
Marehemu katika ajali hiyo akiwa amelaliwa na basi hilo.
MTU mmoja amefariki dunia huku 25 wakijeruhiwa katika ajali ya basi la abiria la Jordan lililopinduka leo wilayani Nzega, mkoani Tabora.
Basi hilo lilikuwa likitokea mkoani Mwanza kwenda Arusha na limepinduka majira ya saa nne asubuhi.
at 2:52:00 PM
Newer Post Older Post Home

categories

AFYA AJALI AJIRA BIG BROTHER BONGO MOVIE Bongofleva Bongomovie BUNGENI ELIMU FASHION FIESTA FUMANIZI Habari Za Mitaani HIP HOP Instagram KIMATAIFA KITAIFA MAAJABU Madawa ya kulevya MAGAZETI MAPENZI MBELE MICHEZO RECORD SIASA TECHNOLOGY UDAKU UKATILI UTAFITI VITUKO WASANII WhatsApp Videos

Popular Posts

  • YASEMEKANA ETI HAWA NDO WASANII WANAOPENDWA SANA NA MADEMU TANZANIA
  • LOWASSA AAHIDI UTENDAJI SPIDI 120
  • WANAFUNZI WATATU WAGONGWA NA TRENI NA KUFA HAPO HAPO BAADA YA KUNOGEWA NA SELFIE!
  • MTOTO WA KIGOGO AAPA KUHAMA NCHI LOWASSA AKISHINDA URAIS..YAANI NI SHEEDAH..NI HUYU HAPA
  • MHE. WASIRA AAMUA KUMWONA SHERIA NGOWI ILI AMTENGENEZEE SUTI ZAKE
  • LINAH Ajiweka kimaaba kwa kaka yake ZARI
  • KAKOBE ALIWAHI KUWA MWANAMUZIKI
  • Mvua Kubwa Yasababisha Foleni Dar
  • Mistari Ya Afande Sele Akimchana Vibaya Aliyeondoka, Akimsifia Magu.
  • HUU NDO UTAJIRI WA MCHUNGAJI GWAJIMA....NDIYE ASKOFU TAJIRI NO.1 TANZANIA
Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.