Sunday, May 24, 2015

BREAKING NEWS : MWIGULU NCHEMBA AJIUZULU NAFASI YA UNAIBU KATIBU MKUU WA CCM

Nafasi ya Naibu Katibu Mkuu CCM iliyokuwa imashikiliwa na Mwigulu Nchemba imechukuliwa na ndugu Rajab Luwavi.

Naibu Katibu Mkuu mpya wa CCM Ndg. Rajab Luhavi alikuwa Msaidizi wa Rais katika Siasa.