Diamond Plutnumz alikwenda mwanza kufanya show ya jembeka festival ila mapokezi yake yali dhihirisha kuwa msanii huyu ni mtu wawatu kama unamchukulia poa tazama picha zote hapa!!
![]() |
MAPOKEZI YA DIAMOND YALIKUWA HIVI |
![]() |
UNAAMBIWA AKIENDA KUFANYA SOUND CHEK TAYARI WALIKU WAWANAMNGOJEA |
![]() |
BODA BODA WALIAMUA KUMSINDIKIZA MTU WA WATU |
![]() |
SOUND CHECK SHOW BADO |
![]() |
DONE AKISEMA NA WATU WAKE |