Tuesday, December 1, 2015

BAADA YA KIBANO KIKALI:::SASA TRA YAICHUNGUZA RASMI BANDARI YA AZAM JUU YA TUHUMA ZINAZOIKABILI,SOMA ZAIDI HAPA LIVE.

Dar es Salaam. Mkakati wa kudhibiti uvujifu wa mapato serikalini unazidi kushika kasi baada ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuiagiza kampuni ya Bandari ya nchi kavu ya Azam kusitisha uhamishaji wa mizigo katika eneo la kampuni hiyo ili kupisha uchunguzi wa upotevu wa makontena na ukwepaji wa kodi.
Mkurugenzi wa Mawasiliano na Elimu kwa Mlipa