Makampuni mbalimbali nchini Tanzania sasa hivi yameanza kuamka kwa nguvu kuwatumia vizuri mastaa wa bongo kwenye kutangaza biashara zao ikiwemo Fastjet, Airtel na Vodacom ambao walianza hii kitambo kidogo.
Kwenye list ya mwaka huu mwimbaji Linah nae yumo ambapo baada ya kujituma kwa bidii kama kijana wa Kitanzania, kampuni ya NFZ anayofanya nayo kazi imemzawadia gari hili aina ya Toyota Mark X.