Saturday, July 5, 2014

TAZAMA PICHA HIZI ZA MIJENGO YA KISASA KABISA..NI SHIDAA AISEE

n11Nyumba nzuri au mazingira yanayovutia popote pale kimekua kitu ambacho ni muhimu kwa kila mwanadamu, kila mmoja anapenda kuishi vizuri kuanzia kwenye kula mpaka anapolala.
Huu ni mpango wa millardayo.com kila wiki kukupa nafasi ya kuona jinsi nyumba za kisasa zilivyojengwa ambapo japokua sio kila mmoja ana uwezo wa kujenga nyumba kama hizi, ukitazama picha vizuri unaweza kupata chochote kitu kuanzia kwenye pazia, sakafu, taa, sebule, viti na mengine mengi.
Hiyo picha ya kwanza hapo juu na hizi zinazofata ni za nyumba namba 1 ambayo ipo nchini Australia.
n8
n9
n12
n13
n14
n7
n6
n5
n4
n3
n2
n1Nyumba namba mbili ndio inafata hapa chini, iko Portugal anakotokea staa wa soka duniani Cristiano Ronaldo.
n15
n16
n17
n18
n20
n21
n22
n23
n24
n25
n26
n27
n28Ningependa kusikia kutoka kwako mtu wangu wa nguvu, kuna kitu gani kimekuvutia kwenye hizi picha?