JIJI LETU

Wednesday, December 2, 2015

Binti Mmoja Amefariki Dunia Baada ya Kula Mchanga wa Kaburini Baada ya Kuambiwa na Mhubiri

KENYA: Binti mmoja amefariki dunia baada ya kula mchanga wa kaburi

Mhubiri alimshauri ale mchanga huo kwa madai kuwa ana mizimu

Inasemekana baada ya kunyweshwa dawa, ndivyo hali ya afya ya msichana huyo ilivyozidi kuwa mbaya hadi akapoteza fahamu.

Hata hivyo mhubiri mwenyewe amejitetea akisema huenda ilitokana na familia ya marehemu kutokuwa na Imani na maombi yake ya uponyaji. 
at 10:42:00 PM
Newer Post Older Post Home

categories

AFYA AJALI AJIRA BIG BROTHER BONGO MOVIE Bongofleva Bongomovie BUNGENI ELIMU FASHION FIESTA FUMANIZI Habari Za Mitaani HIP HOP Instagram KIMATAIFA KITAIFA MAAJABU Madawa ya kulevya MAGAZETI MAPENZI MBELE MICHEZO RECORD SIASA TECHNOLOGY UDAKU UKATILI UTAFITI VITUKO WASANII WhatsApp Videos

Popular Posts

  • Video ya Aibu ya Wema Sepetu Yavuja!
  • VIDEO: Mama Maria Nyerere Ampigia Kampeni Dr. Magufuli
  • Mke Anasa Picha Chafu Za Hawara...Bofya Hapa Kuziona!
  • Vigogo TRA Wakutwa na Mamilioni Nyumbani Kwao
  • Kurasa za mwanzo na mwisho za Magazeti ya leo Jumamosi ya tarehe 26 April 2014
  • Utajiri kigogo NHC gumzo
  • MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI JULY 11 2015
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA STASHAHADA MBALIMBALI CHUO KIKUU CHA DODOMA YAKO HAPA..!! BOFYA HAPA
  • VIDEO:TAZAMA WANAFUNZI HAWA WAKIYAKATA MAUNO NI BORA WANGEENDA TWANGA PEPETA KIPAJI WANACHO
  • MH! BABA LEVO AAMUA KUISHI NA MKE WA JAMAA WAKE KISA ANAMDAI LAPTOP
Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.