Monday, February 29, 2016
BREAKING NEWS : KIONGOZI WA MAJAMBAZI WANAOVAMIA MABENKI TZ HUYU HAPA
Polisi wakiamua kufanya kazi kweli wanaweza.
Jana wamemtight jamaa anayeaminika kuwa kiongozi wa genge linalotikisa kuvamia mabenki.
Sura hii ni common hapa mujini, jamani anayemfahamu!
Source: JF
Newer Post
Older Post
Home