Bifu
inayoendelea Kati ya Ray na Batuli yazidi Kupamba moto, Batuli amjibu Ray Kama
Ifuatavyo;
Haki Ya Mtu Haizami
Swali: Movie Yako
Nimecheza Mwaka Juzi Wiki Moja Kabla Ya Mwezi Mtukufu Wa Ramadhani, Makubaliano
Yetu Ya Kazi Kimkataba Ni Siku 10 Tu Lkn Ulienda Kinyume Na Matokeo Yake
Nilifanya Kazi Yako Mwezi Mzima Wa Ramadhan Je Ulikuwa Sawa!?
Swali: Pamoja Na
Usumbufu Wako Wote Nilifanya Kazi Sikufanya!? Kumbuka Nilikuwa Kwenye Swaumu
Swali: Toka Mwaka Juzi
Mpaka Mwaka Jana Ni Mm Ndie Niliekuwa Nafuatilia Malipo Yng Ofisini Sio Chini
Ya 20 Times Na Umekuwa Ukinikimbia Matokeo Yake Nikachoka Kuja, Simu Zng
Umekuwa Ukizipokea Unapotaka Na Sms Unanijibu Unavyotaka Je Mkataba Wetu
Ulisema Hivyo!?
Swali : Naimani Ww Una
Mkataba Upo Ofisini Kwako Upige Picha Tuone Kama Upo Unavyodai, Binafsi Kila
Mtu Anajua Nyumba Yng Iliteketea Moto Hivyo Sina Kitu Na Ndio Maana Umekuwa
Ukinitendea Unyama Huu Je Kuna Anaeweza Kukaa Kimya Zaidi Ya Mwaka Mmoja Na
Hatimae Unaona Kazi Inatoka Wakati Hujalipwa!?
Swali : Ni Movie Ngapi
Nilizofanya Kwenye Kampuni Yako Chini Ya Johari!? Ni Zaidi Ya 3 Je
Nililalamika!? Kwanini Hii Ambayo Johari Hakuwepo Nikaingia Mkataba Na Ww Iweje
Nilalamike!?
Dhulma Itakufikisha
Pabaya Sana, Tambua Nilifanya Kazi Yako Ktk Mazingira Magumu, Nilikuwa Kwenye
Swaumu Baba Nilifuturu Mabarabarani Chipsi Na Vingine Visivyo Rasmi Yote Ni Ktk
Kutimiza Kazi Yako,
Nionyeshe Mkataba
Unaosema Nilipwe Baada Ya Mwaka 1 Na Kuendelea Hakika Umeonyesha Ulivyo Na Roho
Ya Dhulma Sijawahi Kulalamika Popote Kuhusu Unachonifanyia Kwa Sbb Nilijua Ipo
Siku Utanilipa Changu Matokeo Yake Umeona Ujivishe Ujemedari Lakini
Haitokisaidia Chochote, Kama Haki Yng Basi Itanifuata Hata Nikiwa
Kaburini....Be Blessed....Allah Bariq