LUGHA GONGANA:DADA YAKE DIAMOND ACHEZEA ZA USO BAADA YA KUONGEA BROKEN ENGLISH
Watu hata hawana huruma ..Hawachelewishi kitu ..baada ya Mwanadada halima Kimwana Ndugu yake na Diamond Kupost Picha Akiwa na Penny Mpenzi wa Diamond wa zamani na kuandika Caption ya Kingereza Kibovo (Bcz we Happy) Watu waliidaka hiyo Picha na Kuanza Kuichambua kama Karanga: