Thursday, July 17, 2014

Hivi ndivyo Shetta alivyoogeshwa MAKOKO NA MCHUZI WA MAHARAGE kwenye futari iliyoandaliwa na THT

14SHTMara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kiboko pengine kutokana na sehemu aliyokuwepo.
Shetta alihudhuria futari iliyoandaliwa na Tanzania House of Talent [THT] sasa baada ya watu kufuturu tu na yeye kuingia wakamwita pembeni kama wanaongea nae kilichofuata hapo sasa ni maji tu.
Sasa hii imekuwa tofauti kwa sababu Shettah kamwagiwa hadi maji ya Ukoko yaliyokuwa yamelowekwa kwenye masufuria yaliyokuwa na chakula pale THT,cheki picha hizi walichomfanyia wadau Baba Qaylah.
13SHT
12SHT
11SHT
10SHT
7SHT
5SHT
3SHT
4SHT
8SHT
2SHT
1SHT
9SHT