Furaha tupu: Rais wa Real Madrid, Florentino Perez akimkabidhi jezi mamba nane kiungo wa kimataifa wa Ujerumani, Toni Kroos wakati wa utambulisho wake kufuatia usajili wake uliogharimu Pauni Milioni 24 kutoka Bayern Munich ya Ujerumani.
Kroos alionyesha vita vyake kidogo mbele ya malefu ya mashabiki Uwanja wa Santiago Bernabeu baada ya kukabidhiwa jezi namba nane
Mjerumani huyo akipungia mashabiki Santiago Bernabeu
Mashabiki wamempokea kwa furaha mshindi huyo wa Kombe la Dunia
Toni Kroos (kushoto) akisalimiana na kocha wa Real Madrid, Carlo Ancelotti
Hapa anafanyiwa vipimo vya afya