Saturday, August 16, 2014

IRENE UWOYA "NACHUKIA NA SIPENDI KUVAA CHUPI JAMANI"

Uwoya
Irene Uwoya amerudi na mpya !. Star wa filamu Tanzania Irene Uwoya amesema kuwa hakuna vazi asilolipenda kama chupi a.k.a kufuli.
Akizungumza na Vibe Magazine tz Uwoya anayetamba na filamu kibao amesema hapendi kuvaa kufuli na analichukia sana vazi hilo na huwezi kulikuta kabatini mwake.

Vibe Tz: Nguo gani ni vigumu kuikuta kwenye kabati lako?
Uwoya: Chupi – sipendi kabisa hilo vazi.