Wednesday, September 24, 2014

HUYU NDIYE MSANII KUTOKA NJE ATAKAYE KUJA KUBURUDISHA KWENYE FIESTA 2014

Screen Shot 2014-09-23 at 3.40.20 PM
Wakati Tour ya Fiesta ikiwa inazunguka kwenye mikoa mbalimbali Tanzania ambapo weekend hii ni Mbeya na Songea, ametangazwa msanii wa kimataifa ambae ni rasmi atapanda kwenye stage ya Fiesta Dar es salaam October 2014 Leaders Club Kinondoni.
Rapper T.I ndio msanii wa kimataifa kwenye stage ya Fiesta October 18 2014 akiwa ni mkali ambae kwa sasa anamiliki chati za muziki kwa single yake yaNo Mediocre

<<<TAZAMA HAPA SIMU MPYA AINA YA IPHONE 6 BALAA>>>