![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhS5qfIcXoTsNFQGMvbAzy0Hc0Iv1cT_o_OUh60Ni6I8854NazYa2SN3eWWcdVBBqhriYUaq5REpsWYbwiYMpCnw-3KhDmdYGSTBgPwe7hRgm2Enj7S4va2Xpwk455rY9avxF6S1o_Zkrv7/s1600/1.jpg)
Habari za leo ndugu wapenzi wasomaji. Tunapenda kuwafahamisha kuwa, tumepewa idhini na mwandishi pamoja na wachapishaji wa kitabu cha “Mwanamke Msagaji Ameniambukiza Ukimwi“.
Habari njema kwako ni kwamba, kitabu hiki sasa utakisoma bure kabisa kupitia blog ya Ulimwengu Usioonekana.
Kusoma kitabu hiki kuanzia sura ya kwanza hadi ya mwisho, tembelea : http://www.mungwakabili.
Maelezo Mafupi kuhusu Kitabu :
Jina la Kitabu: Mwanamke Msagaji Ameniambukiza Ukimwi
Mwandishi : Restituta Mahauri
Jina la Kitabu: Mwanamke Msagaji Ameniambukiza Ukimwi
Mwandishi : Restituta Mahauri
Idadi ya sura : 27
Mawasiliano ya mwandishi: restitutamashauri@gmail.com
MAELEZO MAFUPI:
“Mwanamke Msagaji Ameniambukiza Ukimwi” ni kitabu kinachoelezea simulizi la ukweli la wanawawake wawili wa Kitanzania Zuwena na Angel ambao wameambukizwa virusi vya ukimwi kwa njia ya kujamiiana na wanawake wenzao.