Monday, April 4, 2016

Mke Anasa Picha Chafu Za Hawara...Bofya Hapa Kuziona!

IMG-20141109-WA0005
IMG-20141122-WA0006Hawara huyo akiwa amepozi.

Dar es Salaam: Aibu ya mwaka! Mwanamke aliyejitambulisha kwa jina la Flora, mkazi wa Kimara-Bonyokwa, Dar anadai kunasa picha chafu za hawara wa mumewe, Wikienda lina ubuyu kamili.
Akizungumza na gazeti hili huku akiangua kilio, Flora ambaye ni mke wa mtu aliyezaa naye mtoto mmoja, alidai kwa muda mrefu mumewe amekuwa akimbadilikia kitabia na chanzo cha kuzinasa picha hizo chafu ni baada ya kukabidhiwa simu na mumewe huyo.
“Mume wangu anafanya kazi ya kukatisha tiketi Ubungo (Dar). Wiki chache zilizopita alirudi nyumbani akiwa na simu mpya (smart phone), nikamuuliza alipoipata, akanijibu kuna abiria alikwenda ofisini kwao akitaka kusafiri na hakuwa na nauli kamili hivyo akampatia hiyo simu kama sehemu ya nauli,” alisema mwanamke huyo.
Flora alisimulia kuwa baada ya mumewe huyo kukaa na simu kwa siku kadhaa, alimuomba aitumie kwa kuwa alikuwa akitumia simu ndogo.
“Akanipa ile simu, nikaweka memori kadi yangu niliyokuwa naitumia kipindi cha nyuma. Sikuwa na wazo kama angeweza kuweka picha chafu kwenye simu. Lakini siku moja katika kupekuapekua picha zangu katika simu hiyo ndipo nikakutana na picha chafu za mwanamke mwingine ambaye nilishahisi ni hawara yake,” alisema Flora.
IMG-20141122-WA0007…..Akiwa magetoni kwake.
Baada ya kuzinasa picha hizo, Flora alimuonesha mumewe ambapo aliruka kiunzi kuwa hamjui huyo mtu bali zilikuwepo kwenye simu na alipozidi kumbana alisema kuwa ni marafiki tu.
“Sikuridhishwa na majibu. Niliamua kufunga safari hadi kazini kwake lakini kabla sijafika nikakutana na marafiki zake nikawaonesha yule mwanamke kwenye simu, wakaniambia wanamfahamu anaitwa Kashinde lakini nisifanye vurugu niwakutanishe wote kwa utulivu. Nikafanya hivyo, nikamuuliza mume wangu yule ni nani akaniambia rafiki, nikamgeukia na yule mwanamke akaniambia kuwa ni mpenzi wake halafu akaondoka kwa madai kuwa ana kazi nyingi za kufanya.
“Nilirudi nyumbani nikiwa na hasira ukiangalia mume wangu ni halali alishapeleka hadi mahari nyumbani, wazazi wangu na wakwe wanajuana na hapa nilipo naishi kwenye nyumba ya wakwe zangu,” alifunguka Flora akianika picha hizo ambazo gazeti hili lina nakala zake.
Baada ya Wikienda kumwagiwa madai hayo, lilimsaka hawara huyo kujua ukweli ambapo alipojua ni ofisi za magazeti pendwa alishtuka:
“Ni kweli nazifahamu hizo picha ni za kwangu, huyo mtu namfahamu lakini tulikuwa wapenzi na sasa hivi tumeachana. Kwa hiyo sasa kaka utanisaidiaje kwa hilo tafadhalini naomba nije ofisini kwenu tuongee.”
Ili kuweka mzani sawa, wakati mwanamke huyo akiendelea kubembeleza asamehewe, Wikienda lilimgeukia mwanaume huyo ambaye alicharuka:
“Huyo aliyekupa maelezo picha ni kweli, lakini amesema ni mke wangu naishi naye au nimemuoa? Kuna huyu dada ambaye sasa hivi nimezaa naye, niliamua kukaa naye japo tulisumbuana naye akarudi tena. Sasa kama yeye ameleta picha huko hajanidhalilisha mimi au atakuwa hajamdhalilishe yule.
zzzzzzzzzzzzzzzzxMke anayedaiwa kunasa picha hizo.
“Hata ushahidi mmoja kusema nimemuoa hamna, ndoa za sasa hivi watu wanakaa na mtu wanazaa naye wanaona mtu yupoje, ukiona anakuletea chenga unaachana naye kwanza kwa kifupi siyo mke wangu ni hawara wangu tu na ajue hilo. Mimi nina mke wangu wa ndoa, alikuwa Nairobi (Kenya) sasa hivi yupo Egypt (Misri).”