Kwa upande wa jirani zetu Uganda nao wamebahatika kupata wema sepetu wao,anajulikana kama ZARINAH TLALE au unaweza kumuita “ZARINAH THE BOSS LADY”. Huyu ndie mlibwende anayezungumziwa sana hivi sasa nchini uganda kwa utajiri wake wa ajabu.
Zari ndiye msanii wa kwanza kutoka Afrika Mashariki kua na reality show yake mwenyewe ijulikanayo kama The Boss Lady. Princess huyu ana mafanikio makubwa sana,anamiliki biashara kubwa nchini Uganda naAfrika kusini.
Pia zari ni moja ya waimbaji wakubwa nchin Uganda huku akiendesha magari yanayokula mafuta vibaya na ya thamani kubwa sana.