Tuesday, September 2, 2014

SHERIA MKONONI: WANANCHI WAMPIGA MAWE NA KUMCHOMA MOTO JAMBAZI HUKO KAHAMA, TAZAMA PICHA HAPA

Maafisa wa jeshi la Polisi wilaya ya Kahama wakiwa katika eneo la tukio katika kwaajili ya kuuchukua mwili wa Marehemu.
Inasemekana watuhumiwa hao walivamia chumba ya mkazi mmoja wa mtaa wa Muhungula Kahama na kujeruhi kwa mapanga watoto wawili ussiku wa kuamkia leo.






-DUNIA KIGANJANI