Tuesday, September 23, 2014

VIBAKA WAMLAWITI MKE WA MFANYA BIASHARA HUKU WAKICHUKUA VIDEO HUKO JIJINI ARUSHA MMMMH!!! INATISHA

Uuuuuh!!! haijawahi kutokea kwa wanajamii kushuhudia vituko katika jamii kwani tukio la mtu kuliwa tigo mpaka kuzimia limekuwa gumzo hapa mjini na kila kona ndio imekuwa stori ya mjini ikiwa ni pamoja gesti ambayo tukio hilo limetokea kwa kuwa nyumba hiyo nayo imekuwa maarufu